Katiba mpya maana yake ni kuwa na Serikali tatu na Tume Huru ya Uchaguzi; hizo siyo sera za CCM

Katiba mpya maana yake ni kuwa na Serikali tatu na Tume Huru ya Uchaguzi; hizo siyo sera za CCM

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Nawakumbusha tu Chadema kwamba mnapodai Katiba mpya maana yake mnahitaji serikali tatu.

Vinginevyo mambo mengine yanaweza kuingizwa tu katika katiba hii ya sasa kwa kuifanyia ammendments.

CCM haina sera ya serikali tatu hivyo siyo rahisi mwenyekiti wa CCM kuruhusu mchakato wa katiba mpya.

Nawashauri Chadema wadai Tume Huru ya Uchaguzi labda inaweza kuingizwa kwa kung'ang'aniza kwenye katiba ya sasa.

Nawasalimu kwa jina la JMT!
 
Sera ya CCM ni hii!👇
7nbv654311.jpg
 
Nawakumbusha tu Chadema kwamba mnapodai Katiba mpya maana yake mnahitaji serikali tatu.

Vinginevyo mambo mengine yanaweza kuingizwa tu katika katiba hii ya sasa kwa kuifanyia ammendments.

CCM haina sera ya serikali tatu hivyo siyo rahisi mwenyekiti wa CCM kuruhusu mchakato wa katiba mpya.

Nawashauri Chadema wadai Tume Huru ya Uchaguzi labda inaweza kuingizwa kwa kung'ang'aniza kwenye katiba ya sasa.

Nawasalimu kwa jina la JMT!
Ni heri ndugu zetu chadema mpiganie kudai tume huru ya uchaguzi, lakini hapo kwenye kupata katiba mpya pagumu.
 
Zanzibar wanakatiba ,Tanganyika hakuna katiba ,jamhuri inaungwaje hivo hua najiuliza marazote cpati jibu
 
Back
Top Bottom