Katiba mpya:(mafao kwa marais na makamo raisi na mawazi wakuu)

tpmazembe

JF-Expert Member
Joined
Jan 5, 2012
Posts
2,469
Reaction score
586
Tunataka katiba mpya itakayookoa pesa za wananchi kutowahudumia wastaafu mpaka kufa kwao na badala yake wapewe pension maalum kwa wakati mmoja pindi wanapostaafu, kama jinsi ilivyo kwa wabunge wanapostaafu hupewa mil 40 na kuishi kivyake, HIVYO HIVYO KWA MARAIS WASTAAFU,MAKAMO NA MAWAZIRI WAKUU WAKIISTAFU WAPEWE CHAO KAMA NI MIL 100 AU MIL 50 WAISHI KIVYAO BILA KUITEGEMEA TENA SERIKALI KUENDESHA MAISHA YAO.tuwaonee wananchi huruma na tuwe wazalendo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…