JIULIZE KWANZA
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 2,569
- 500
Wadau.
Napendekeza kwenye katiba mpya isiruhusu watoto wa Viongozi wastaafu hususani mawazori na rais waruhusiwe kugombea kikatiba ili kuepuka ukiritimba wa kuridhishana nyadhifa serikalini Kama ambavyo tuonavo sasa watoto wa Vigogo kuwekwa kwenye nafasi nyeti bila kujali ufanisi na uwezo wao kikazi.
Tujadili na sio kurushiana mapovo.
Nawasilisha
Nakala kwa.
Ritz & Co-
Napendekeza kwenye katiba mpya isiruhusu watoto wa Viongozi wastaafu hususani mawazori na rais waruhusiwe kugombea kikatiba ili kuepuka ukiritimba wa kuridhishana nyadhifa serikalini Kama ambavyo tuonavo sasa watoto wa Vigogo kuwekwa kwenye nafasi nyeti bila kujali ufanisi na uwezo wao kikazi.
Tujadili na sio kurushiana mapovo.
Nawasilisha
Nakala kwa.
Ritz & Co-