mkuu hiyo katiba unayoitaka waliosigina tunao ndani ya chama chetu tutapoteza ujasiri wa kuipagania kama linavyotukaba koo jinamizi la kutamka neno ufisadi!
Tutaishia kusema iko siku tutaipata! We have to act on it, isitoshe hata Mungu husaidia wajisaidiao .( GOD HELP THOSE WHO HELP THEMSELVES). Uoga wetu bila kuuweka chini na kuuvaa ujasiri KATIBA YA WARIOBA haitapatikana na hakika hatuwatendei haki watoto wetu.tulianza mchakato wa katiba CCM wakauteka.lakini ipo siku itapatikana
Hapa kusudi lako sjalijua, ebu toa njiamama hanazoweza kutumia mwanachi kudai katiba.kwani wenye shida na katiba mpya ni upinzani au sisi wananchi?katiba mpya ni faida kwetu wananchi au upinzani?sisi wananchi nadhani ndio tunatakiwa tuidai katiba mpya.
kwani upinzani tumeuajiri
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Watani Lumumba tuchangie japo kwa kidogo tulichonacho, sidhani kama mko weupe kiasi hili!!
Sent using Jamii Forums mobile app
nafikiri umenielewa,tunaotakiwa tuidai katiba mpya ni sisi wananchi maana ni kwa faida yetu.Hapa kusudi lako sjalijua, ebu toa njiamama hanazoweza kutumia mwanachi kudai katiba.
[emoji115] [emoji106]nafikiri umenielewa,tunaotakiwa tuidai katiba mpya ni sisi wananchi maana ni kwa faida yetu.
Mkuu
Mkuu Kuna vitukwa sasa Tanzania havikwepeki ikiwa hatutapata kwa kuomba basi tupate kwa kukwapua..haki juwa haiombwi inadaiwa na kudai kunatumia nguvu na muda...na hizo cost zake zinaweza kuwa hadi uhai WA mtu
[emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji144]Mkuu;
Naona bado mnazidi kunichanganya. Mnatumia misamiati migumu mimi kuielewa. Ati tu kwapue, tudai kwa kutumia nguvu, itatu cost hadi uhai wa mtu. Hivi vyote mkuu vinanichanganya kabisa. Si uwe muwazi tu??
Dhima ya mitandao ya kijamii ninini? Currently talking about JF?kuidai katiba mpya mitandaoni ndo tutaipata? mbinu zipi zitumike kuipata kapata katiba mpya?
Ni rahisi mno kuona mrejesho uliotokea kwenye SERIKALI nyingi Afrika baada ya mahakama kuu Kenya kutengua uchaguzi uliompa ushindi Kenyatta....
Sikuona pongezi zozote toka serikali zilizoko madarakani.... Ni habari za mshtuko kwa wengi ambao walitegemea matokeo tofauti....
Furaha na shangwe nyingi zimetoka kwa wapinzani
Tanzania tuko kwenye mchakato unaosuasua wa katiba mpya..lakini kwa haya yaliyotokea Kenya na hali yetu ya kisiasa kwasasa....
Tuandike patapotea.... Hakuna katiba mpya tena halafu huru
Kenya wameweza kwakuwa kuna kifungu kwenye katiba kinachotoa uwezo wa matokeo ya urais kuhojiwa na kupingwa mahakamani.... Kifungu hiki kimepatikana.
Kwa gharama kubwa!
Wengi tunatamani katiba kama ya Kenya... Lakini bado tuna njia ndefu halafu ngumu
Sent using Jamii Forums mobile app
Dhima ya mitandao ya kijamii ninini? Currently talking about JF?
nimeuliza kwa nia njema tu mkuu,,je tunapodai katiba mpya kwa kutumia mitandao pekee, tutafanikiwa?
Mkuu;
Naona bado mnazidi kunichanganya. Mnatumia misamiati migumu mimi kuielewa. Ati tu kwapue, tudai kwa kutumia nguvu, itatu cost hadi uhai wa mtu. Hivi vyote mkuu vinanichanganya kabisa. Si uwe muwazi tu??
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji115] [emoji3] [emoji3] [emoji124] [emoji124] [emoji115]Mkuu naona unatutega..milioni Saba sina
Mkuu naona unatutega..milioni Saba sina
Hahaha mkuu huo mtego WA ndege...unamrushia pumba umle Nyama..wanasheria wapo ILA sins hela ya kuwalipa mil 7sio mchezo kwa usawa huuAvatar yako inajieleza vizuri tu. Ukikaa kimya hakika utakufa kwani ni hakika; Silent kills. Sasa, usiogope wapo wanasheria watakutetea tu tena bure. Sema lililo moyoni ili watu wapone.