Katiba Mpya na Ushoga

Katiba Mpya na Ushoga

dudus

JF-Expert Member
Joined
Feb 28, 2011
Posts
23,782
Reaction score
54,213
Umofia kwenu wanajamvi.

Natumaini wote mmesikia nguli wawili wa siasa za Afrika Dr. Robert Gabriel Mugabe na General Yoweri Kaguta Museveni wakiilaani vikali dunia ya magharibi kwa kutaka kulazimisha ushoga (homosexuality) Afrika kama sharti au kigezo kimojawapo cha "demokrasia". Kwanza niwapongeze marais wetu hawa bila kumsahau Goodluck Jonathan wa Nigeria ambaye tayari alishasaini sheria ya kukataa ushoga nchini mwake. Nalaani kwa nguvu zote (japo ni mambo ya ndani ya nchi zao) hatua ya mataifa mawili Afrika kututia aibu waafrika - Afrika Kusini na Malawi kwa kukubali ushoga ndani ya mataifa yao.

Sasa basi:-

(i) kwa kuwa tuko kwenye hatua muhimu zaidi ya kuandika Katiba Mpya ambayo ni sheria mama na tayari wajumbe wa kutimiza wajibu huu mkuu na uliotukuka wako Dodoma kwa kazi hii adhimu;

(ii) na kwa kuwa kwa hulka ya viongozi wetu ya "kuonea aibu wazungu" ipo hatari ya kukubali masharti ya ajabu ajabu kama ushoga kwa ndoano ya misaada;

Ni ombi au pendekezo langu kwenu wanajamvi tuwaombe Waheshimiwa Wabunge wa Bunge Maalumu kuingiza kipengele cha kukataa ushoga katika Katiba Mpya. Kwa kufanya hivi, sheria, azimio, au jambo lolote lenye mwelekeo wa kishoga automatically litakuwa batili. Kiongozi yeyote au taasisi yoyote (chama cha siasa, taasisi za kidini, n.k.) zitakazo-support vitendo vya kishoga iwe kwa uwazi au kwa taathira yake vibatilishwe ndani ya ardhi ya Tanzania haraka iwezekanavyo. Ni kwa kufanya hivi tutalinda tunu za taifa letu, tutalinda vizazi vyetu, na tutalinda taifa letu.

Ndoa (na mahusiano ya kingono) ni lazima itokane na jinsi mbili tofauti na sio vinginevyo. SAY NO TO HOMOSEXUALITY NOW!
 
Mijadala ya kishetani hii...

Je umemwelewa mleta thread hii? Kupinga vitendo vya ushoga ni jambo linalo mpendeza Mungu, wewe unakuja na hoja ya mijadala ya kishetani anyway unaouhuru wakuandika chochote.
 
Nakubaliana na mtoa hoja. Ni muhimu suala la uharamishaji ushoga likaingia kwenye katiba kwani hakuna dini inayokubali ushoga na hakuna utamaduni wa Afrika unaokubali ushoga. Hawa vibaraka wa ubroari mkongwe Malawi na RSA sijui ujasiri huo wameupata wapi. Tusikubali kuwa taifa la ndigiri kamwe.
 
mleta hoja aweza kuwa shoga ila anapima upepo huku akiwa amevaa ngozi ya kondoo... so i'm right na hii thread ni ya KISHETANI & nonesense
 
Dr. Robert Gabriel Mugabe na General Yoweri Kaguta Museveni .... Goodluck Jonathan wa Nigeria ambaye tayari alishasaini .. wakiilaani vikali dunia ya magharibi kwa kutaka kulazimisha ushoga (homosexuality)...
List of Africa's genuinely mentally ill leaders .... sasa ndo wamegundua kuna ushoga kwenye nchi zao?
 
mleta hoja aweza kuwa shoga ila anapima upepo huku akiwa amevaa ngozi ya kondoo... so i'm right na hii thread ni ya KISHETANI & nonesense

Mtoa maada inaonekana anajua nchi chache africa zinazoruhusu ushoga. S oma ramani hii, utaona na tatizo lilivyo kubwa africa. naungana nae kungekuwepo kipengele cha kulinda utamaduni wetu kwenye katiba.


_73185143_gay_africa_464x495.gif
 
Mkuu dudus
Umofia kwako
Sijakuona kitambo sana hapa jamvini
 
Last edited by a moderator:
Ni PENDEKEZO zuri na la muhimu sana, ila hawa tuliowapa dhamana wanaweza wasilifanyie kazi kwa ufanisi kutokana na kuchukizwa kwa kutoongezewa POSHO.
 
Ndugu yangu hatuna budi kuwasukuma kwa kila njia ikibidi tupeleke timu ya kulobi. Najua hayo yatakuwa mapambano ya wazi lakini ningependa kuwaona watetezi wa mashoga wakisimama mbele ya umma na kuwatetea. Tuache kumung'unya maneno twendeni fronti.
 
Naunga mkono hoja 100 kwa 100...
 
mleta hoja aweza kuwa shoga ila anapima upepo huku akiwa amevaa ngozi ya kondoo... so i'm right na hii thread ni ya KISHETANI & nonesense

we nimpumbavu. nawachukia sana watu kama ninyi. jambo zuri unaleta siasa
 
mleta hoja aweza kuwa shoga ila anapima upepo huku akiwa amevaa ngozi ya kondoo... so i'm right na hii thread ni ya KISHETANI & nonesense

We ujitambui....au ww ndo shoga ulitegemea upate sapport ...???....plz tustafutiane Ban ya mwaka mzma
 
mleta hoja aweza kuwa shoga ila anapima upepo huku akiwa amevaa ngozi ya kondoo... so i'm right na hii thread ni ya KISHETANI & nonesense

Kaka nahisi unacho unachokificha... usiogope kupigwa marufuku ushoga mkuu!!

Mimi nashauri kwanza hiko kipengele kiseme mtu mwenye elements za kishoga shoga na kibasha hafai kushika uongozi wa ngazi na shirika lolote.

Kisha shoga huyu adhabu yake iwe bakora miaka mitano... maana ukimpeleka jela watamnanihii waliojaa ukame kule ndani.
 
mleta hoja aweza kuwa shoga ila anapima upepo huku akiwa amevaa ngozi ya kondoo... so i'm right na hii thread ni ya KISHETANI & nonesense


Duh! Mapunga kumbe mpo na nyie humu JF! Namuunga mkono mleta hoja tutahakikisha tunawatokomeza humu nchini, wote muhamie Rwanda na Malawi wanaporuhusu ushoga hapa hapawafai.
 
wewe lazima utakua ni huyu aliyeinamishwa tu wanaume hua hatuongei hivyo . View attachment 141402

Kudadadeki, kama wabunge tunaowalipa posho ya laki tatu kwa siku kutoka kwenye kodi zetu wataruhusu huu usenge kufanyika kwenye nchi hii, laana kubwa itawakuta.

Museveni amewaambia ukweli kuwa usenge sio inherited character, ni upuuzi uliopatikana hapa hapa duniani na lazima upigwe vita hapa hapa kwa adhabu kali mno. Kikwete anatakiwa kumwambia Obama kama alivyosema Mugabe kuwa Obama aje aonjwe kwanza yeye...
 
Back
Top Bottom