Katiba Mpya na Ushoga

mleta hoja aweza kuwa shoga ila anapima upepo huku akiwa amevaa ngozi ya kondoo... so i'm right na hii thread ni ya KISHETANI & nonesense

Shoga analaani ushoga! Nashukuru kwa majibu murua kutoka kwa wazalendo hapo juu.
 

Mkuu najaribu kuwaza pia huu ujinga wa "dual citizenship" baadhi yetu tunaoushadadia ukipitishwa sijui itakuwaje. Suppose huko tuendako akijapatikana mkuu ambaye ni shoga na basha lake liko Ulaya au Uarabuni si kila wiki atakuwa anafunga safari kulifuata; of course ni "mumewe"! Au litakuwa na haki ya kumfuata "mkewe" nchini! Duh!

Tuache utani, hii ni laana na tuilaani kikatiba badala ya kuitungia sheria ambayo inaweza kupitishwa au isipitishwe na mamlaka zitakazokuwa zinatakiwa kufanya hivyo. Ila ikiingia kwenye Katiba inakuwa ni sisi wananchi tunawaagiza watawala watende hivi na sio vinginevyo na wao watakuwa na sababu genuine ya kuwakatalia mabeberu wanaolazimisha ushoga.
 

Umesahau kuhusu kupiga marufuku vimini maana na vyenyewe ni kero!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…