Watu tumekuwa busy na katiba mpya,hilo ni zuri sana lakini tumekuwa busy na kipengere saana kimoja cha muungano na nahisi hata warioba nae akili yake iko busy kutoka siku anateuliwa mpaka leo busy na jambo la muungano kwamba tuwe na serikali 3.
Ukitazama vyama vingine vya siasa kama chadema wao wako busy na muungano kwa maana ya serikali 3 na kusahau kuwa wao bungeni walikuwa wakipigania eti serikali ya ccm ina serikali kuubwa ambayo inameza fedha za umma.,yaani Other charges kubwa Develoomemt expenditure inkuwa ndogo....
Chadema wamesahau hilo.....lakini nadhan kwa maslah binafsi kwani navyofikiri mimi serikali 3 ndo itakuwa mchwa wa fedha za umma.
Ccm na wao eti wako busy na serikali 2 hawatoi misimamo mingine ktk kuwatetea watanzania ktk kupata katibu mutribu??????
Asasi za kiraia am sure zitakuwa busy na manbo ya jinsia,usawa na usishangae wakataka hata mashoga watambuliwe.....
Wooote wamesahau kama nchi kuongozwa lazima iwe na fedha....hawazungumziii ni namna gani katiba itaitaka au itasema jini juu ya kukusanya kodi ili kuwapatia watanzania maendeleo....ila imesema ni jinsi gani serikali itatumia fedha...huuu ni upuuuz maana yake ni kwamba unapata mtoto kabla hata huja sex na mkeo,je huyo bado utamuita mkeo???
Tuamke na wajumbe la katiba wataamka.....nadhan jambo la msingi kabisa ni kukusanya kodi na katiba iseme wazi tusisubiri regulations zitatumaliza na kodi kubwa zisiende kwa watumishi bali migodi na kuondoa misamaha isiyo na tija.
Ukitazama vyama vingine vya siasa kama chadema wao wako busy na muungano kwa maana ya serikali 3 na kusahau kuwa wao bungeni walikuwa wakipigania eti serikali ya ccm ina serikali kuubwa ambayo inameza fedha za umma.,yaani Other charges kubwa Develoomemt expenditure inkuwa ndogo....
Chadema wamesahau hilo.....lakini nadhan kwa maslah binafsi kwani navyofikiri mimi serikali 3 ndo itakuwa mchwa wa fedha za umma.
Ccm na wao eti wako busy na serikali 2 hawatoi misimamo mingine ktk kuwatetea watanzania ktk kupata katibu mutribu??????
Asasi za kiraia am sure zitakuwa busy na manbo ya jinsia,usawa na usishangae wakataka hata mashoga watambuliwe.....
Wooote wamesahau kama nchi kuongozwa lazima iwe na fedha....hawazungumziii ni namna gani katiba itaitaka au itasema jini juu ya kukusanya kodi ili kuwapatia watanzania maendeleo....ila imesema ni jinsi gani serikali itatumia fedha...huuu ni upuuuz maana yake ni kwamba unapata mtoto kabla hata huja sex na mkeo,je huyo bado utamuita mkeo???
Tuamke na wajumbe la katiba wataamka.....nadhan jambo la msingi kabisa ni kukusanya kodi na katiba iseme wazi tusisubiri regulations zitatumaliza na kodi kubwa zisiende kwa watumishi bali migodi na kuondoa misamaha isiyo na tija.