kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 13,778
- 14,214
Kwa unyenyekevu mkubwa Rais Samia ashauriwe ili nae apange kalenda ya mchakato wa kumalizia uwandishi wa katiba mpya. Sio rahisi kwa mwaka huu kuandika katiba mpya kwakuwa bajeti ya mwaka huu haina kifungu cha uwandishi wa katiba mpya.
Lakini sio vibaya Mama yetu akasema kazi ya kukamikisha katiba mpya itaanza lini pamoja kwamba tunakabiliwa na umaliziaji wa miradi yetu mikubwa ya Reli, Bwawa, upatikanaji wa maji na umeme vijijini ambayo ni miradi muhimu sana.
Katiba mpya ni muhimu sawa na maisha ya mtu kwakuwa katiba hii ya Sasa inategemea sana uadilifu na utashi wa kiongozi aliyeko madarakani. Mama yetu ni muadilidifu sana asiye na mashaka LAKINI hatujui baada ya mama Samia atakuja nani kwa njia gani lini. Hofu ya aina hii wanayo watu wengi hata wanaomzunguuka Rais.
Katiba mpya ni yetu sote na Ina manufaa kwetu sote kama taifa. Hivyo, upatikaji wake usitugombanishe na kututenga Kati ya watawala na wapinzani. Huu ni mustakali wetu.
Lakini sio vibaya Mama yetu akasema kazi ya kukamikisha katiba mpya itaanza lini pamoja kwamba tunakabiliwa na umaliziaji wa miradi yetu mikubwa ya Reli, Bwawa, upatikanaji wa maji na umeme vijijini ambayo ni miradi muhimu sana.
Katiba mpya ni muhimu sawa na maisha ya mtu kwakuwa katiba hii ya Sasa inategemea sana uadilifu na utashi wa kiongozi aliyeko madarakani. Mama yetu ni muadilidifu sana asiye na mashaka LAKINI hatujui baada ya mama Samia atakuja nani kwa njia gani lini. Hofu ya aina hii wanayo watu wengi hata wanaomzunguuka Rais.
Katiba mpya ni yetu sote na Ina manufaa kwetu sote kama taifa. Hivyo, upatikaji wake usitugombanishe na kututenga Kati ya watawala na wapinzani. Huu ni mustakali wetu.