Katiba mpya ni sasa.

Katiba mpya ni sasa.

joseph2

JF-Expert Member
Joined
May 31, 2015
Posts
458
Reaction score
1,032
Hawa ccm wanafikiri watanganyika ni wadanganyika. Yaani wachota mabilioni ya Kodiak zetu kuanzisha mchakato wa katiba mpya. Halafu walivyo ona katiba mpya itawatowa madarakan8 wakaamuwa kuzima mchato mzima ,bila hata huruma ya Kodi za Masikini zilizo kwisha tumika. Sasa bila katiba mpya wajiandae kutoka madarakani kwa shall au kwa Amani chaguo ni Lao. Huta rudi nyuma . Tumeisha vumilia vya kutosha sasa ni wakati kupigania haki kwa gharama yoyote. CCM mmetuchezea sana sasa mnamawili mkubari kushindwa kishujaa au mkubali kushindwa kinyama huku mkitafuta pakujificha.
 
Back
Top Bottom