Ni dhahiri kuwa NCCR, CUF, Chadema na wengine pia wapo wanahitaji katiba mpya sasa.
Katiba mpya itakuwa mustakabala wetu ulio bora zaidi kama nchi. Hayupo mwenye akili timamu anayeweza kuupinga mchakato wake.
Tunaotaka mustakabala mpya tupo chini ya meza. Wasiotaka mustakabala mpya wako juu ya meza, wanatumbua!
Chini ya meza ni jukumu letu kufahamiana. Tunahitajika kusimama kwa pamoja tu, ili kuweza kujikomboa.
Wanahitajika wanaoweza kuwa tayari kusimama bila kujali waliwahi kuwa marafiki au maadui.
Asiyekuwa tayari kusimama sasa, hata kama ni rafiki, hatufai huyo.
Aliye tayari kusimama sasa hata kama ni adui, huyo anatufaa.
Kwa sasa cha muhimu zaidi kuliko vyote ni kufahamiana na mashirikiano ya aina yoyote kuelekea kusimama.
Shime waungwana. Umoja ni nguvu.
Katiba mpya itakuwa mustakabala wetu ulio bora zaidi kama nchi. Hayupo mwenye akili timamu anayeweza kuupinga mchakato wake.
Tunaotaka mustakabala mpya tupo chini ya meza. Wasiotaka mustakabala mpya wako juu ya meza, wanatumbua!
Chini ya meza ni jukumu letu kufahamiana. Tunahitajika kusimama kwa pamoja tu, ili kuweza kujikomboa.
Wanahitajika wanaoweza kuwa tayari kusimama bila kujali waliwahi kuwa marafiki au maadui.
Asiyekuwa tayari kusimama sasa, hata kama ni rafiki, hatufai huyo.
Aliye tayari kusimama sasa hata kama ni adui, huyo anatufaa.
Kwa sasa cha muhimu zaidi kuliko vyote ni kufahamiana na mashirikiano ya aina yoyote kuelekea kusimama.
Shime waungwana. Umoja ni nguvu.