Andongwisye
Member
- Feb 17, 2012
- 30
- 5
Hivi misimamo ya CCM na Chadema kwenye mchakato wa katiba ni halali? siongelei usiriki ninachoongelea ni kampeni za kuwaelekeza wananchi nini cha kufanya na nini kinatakiwa kwa mtindo huu tutapata katiba mpya?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni halali. Kila mahali panapotokea kuandika katiba mpya huwa inakuwa hivyo. Kule Kenya walikuwawanaita CHUNGWA na NDIZI. Wengine katika rasimu ya Katiba yao walikuwa mrengo wa chungwa na wengine mrengo wa ndizi. Kwao ilikuwa kampeni kubwa sana. Hii hapa ni kitu kama kidhaifudhaifu hivi. Kule ilikuwa kwenye vituo vya mabasi masokoni na kila penye mikusanyiko ya watu. Kwenye matatu (daladala) watu wanakuuliza kuwa wewe ni chungwa au ni ndizi. Mwishonii walipopiga kura na ukawa mwisho wa kampeni. Hapa bado kabisa.Unajua WaTZ kawaida ni waoga.Hivi misimamo ya CCM na Chadema kwenye mchakato wa katiba ni halali? siongelei usiriki ninachoongelea ni kampeni za kuwaelekeza wananchi nini cha kufanya na nini kinatakiwa kwa mtindo huu tutapata katiba mpya?