Katiba Mpya: Rais mmoja wa Shirikisho,Zanzibar na Tanganyika kuwa chini ya Magavana

nickname

JF-Expert Member
Joined
Dec 20, 2009
Posts
544
Reaction score
150
Rasimu sifuri ya Katiba mpya iliyoandaliwa na CUF imeonesha kuvunja muungano wa Tanzania na kuleta msigano kati ya CUF Bara na CUF Zanzibar hasa baada ya kuundwa serikali ya umoja wa kitaifa na kuonekana kuwa kuna maslahi ya wachache yatapotea...


Source: Mzalendo
 
Tuache ubinafsi, ni vyema tuwe na shirikisho na rais mmoja tu! ama tuwe na marais watatu (tanganyika, zanzibar na shirikisho).
 
Kwenye muungano hapo ngoma itakuwa nzito!

Viongozi kama sikupenda sana madaraka, tungesema tuwe na nchi moja tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…