Inajulikana kuwa katiba mpya inahitajika na wengi.
Wapongezwe Chadema kwa kuchukua jukumu la kuanzisha na kuratibu msukumo wa kurejelewa kwa mchakato huu muhimu wa kupatikana kwake.
Hatua hii isiyokuwa na chembe ya ubinafsi iliyojaa dalili zote za hatari, ni ya kupongezwa sana na kila mpenda haki, uhuru na usawa na hasa kila mzalendo.
Wapo watakaobeza hatua hii kwa kutokuelewa kwao au kwa kuwa ni wanufaika wa katiba iliyopo.
Wale wasioelewa ni jukumu letu kawaelimishe.
Hatuna haja ya kupoteza muda na wanufaika wa mfumo. Hao ni hatua muafaka sasa kuwasusia nyuzi zao na mabandiko yao yote.
Hatuna haja ya kuingia kwenye marumbano na watu hawa.
Tuwaache wapambane na hali zao.
Wapongezwe Chadema kwa kuchukua jukumu la kuanzisha na kuratibu msukumo wa kurejelewa kwa mchakato huu muhimu wa kupatikana kwake.
Hatua hii isiyokuwa na chembe ya ubinafsi iliyojaa dalili zote za hatari, ni ya kupongezwa sana na kila mpenda haki, uhuru na usawa na hasa kila mzalendo.
Wapo watakaobeza hatua hii kwa kutokuelewa kwao au kwa kuwa ni wanufaika wa katiba iliyopo.
Wale wasioelewa ni jukumu letu kawaelimishe.
Hatuna haja ya kupoteza muda na wanufaika wa mfumo. Hao ni hatua muafaka sasa kuwasusia nyuzi zao na mabandiko yao yote.
Hatuna haja ya kuingia kwenye marumbano na watu hawa.
Tuwaache wapambane na hali zao.