Katiba mpya:Umri wa Mtu mzima uanzie miaka 14

Katiba mpya:Umri wa Mtu mzima uanzie miaka 14

Kasheshe

JF-Expert Member
Joined
Jun 29, 2007
Posts
4,694
Reaction score
790
kulingana namaendeleo ya teknoma upashanaji wa habari kijana wa miaka 14 anauelewa mpana sana kuliko kijana wa 14 miaka ya 1977 wakati katiba ya sasa ikitungwa. hivyo basi kama ilivyo tunataka rais awe na umri mdogo.... mpiga kura pia aweza kuwa nanumri mdogo... maana information is power and knowledge vijana wa sasa wa miaka 14 wako fiti kuliko wa miaka 22 wa 19777. hivyo basi katiba ya sasa itambue mtu mkubwa anaanzia 14 years na awe na haki ya kupiga kura.
 
kulingana namaendeleo ya teknoma upashanaji wa habari kijana wa miaka 14 anauelewa mpana sana kuliko kijana wa 14 miaka ya 1977 wakati katiba ya sasa ikitungwa. hivyo basi kama ilivyo tunataka rais awe na umri mdogo.... mpiga kura pia aweza kuwa nanumri mdogo... maana information is power and knowledge vijana wa sasa wa miaka 14 wako fiti kuliko wa miaka 22 wa 19777. hivyo basi katiba ya sasa itambue mtu mkubwa anaanzia 14 years na awe na haki ya kupiga kura.
 
Akili zako zinaonesha una miaka 14 hiyo hiyo na unadhani mtu akiweza kufungua web browser basi anaweza pia kuwa baba wa familia.

Kupiga kura na kufanya ngono mnakimbilia mno na mnataka kwa ajili ya hayo mtambuliwe kuwa wakubwa, ila mkishitakiwa mahakamani, mnaomba poo kuwa bado mu wadogo akili zenu hazijapevuka. Zitto kawaharibu sana watoto wenzake, sitashangaa kesho nikisikia wazo hili umeliweka ili ugombee ubunge na miaka yako 14
 
Back
Top Bottom