Katiba Mpya: Wabunge acheni uchama

MASALYA

Member
Joined
Feb 27, 2014
Posts
7
Reaction score
1
Wabunge wa Bunge maalumu la katiba waweke interest zao na vyama vyao kando ili waandae katba itakayokidhi mahtaji ya watz.Wasipe makof ovyo
 
....katiba mpya inapatikana barabarani.....na ina andikwa na damu....ccm hawawezi kutoa haki hiyo mkononi mwetu....na haki yetu hatupaswi kuomba....ni ndoto kupata katiba bora bila kuforce....so tuwape muda waaze then tukiona changa tu macho twendeni barabarani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…