Kitambazi Abdul
Member
- Aug 8, 2017
- 72
- 84
Habari wana jukwaa.
Lengo Mimi ni Kuuliza tu...
Mm ni mwananchi wa kijijini huku ninayejishughulisha na Kilimo cha mazao ya biashara...
Hivi Hiyo katiba mpya wanayoililia watu Hasa wanasiasa mbalimbali itanisaidia nini Mimi mwananchi wa kijijini nisiyejihusisha na siasa!?
Umeme Upo, Maji yapo, na Huduma za Jamii nyingi zipo, uhitaji tu ni Walimu wachache kwenye shule zetu huku... Je katiba mpya itanisaidia nn kwenye kazi zangu hizi!?
Nimewasilisha Kama nilivyoulizwa, majibu yenu yanahitajika...
Lengo Mimi ni Kuuliza tu...
Mm ni mwananchi wa kijijini huku ninayejishughulisha na Kilimo cha mazao ya biashara...
Hivi Hiyo katiba mpya wanayoililia watu Hasa wanasiasa mbalimbali itanisaidia nini Mimi mwananchi wa kijijini nisiyejihusisha na siasa!?
Umeme Upo, Maji yapo, na Huduma za Jamii nyingi zipo, uhitaji tu ni Walimu wachache kwenye shule zetu huku... Je katiba mpya itanisaidia nn kwenye kazi zangu hizi!?
Nimewasilisha Kama nilivyoulizwa, majibu yenu yanahitajika...