Kitambazi Abdul
Member
- Aug 8, 2017
- 72
- 84
Hivi kuna uhusiano kati ya uafrica/uesi na ujinga etii...!Habari wana jukwaa.
Lengo Mimi ni Kuuliza tu...
Mm ni mwananchi wa kijijini huku ninayejishughulisha na Kilimo cha mazao ya biashara...
Hivi Hiyo katiba mpya wanayoililia watu Hasa wanasiasa mbalimbali itanisaidia nini Mimi mwananchi wa kijijini nisiyejihusisha na siasa!?
Umeme Upo, Maji yapo, na Huduma za Jamii nyingi zipo, uhitaji tu ni Walimu wachache kwenye shule zetu huku... Je katiba mpya itanisaidia nn kwenye kazi zangu hizi!?
Nimewasilisha Kama nilivyoulizwa, majibu yenu yanahitajika...
Furaha yangu ni kwamba amepewa majibu bora kabisa. Ila hakuna aliyemwambia upumbavu unaomsibu. Huyu ni kati ya wale wanawabeza wanaodai marekebisho ya katiba au katiba mpya. Wanatakiwa kujua kuwa ni katiba iliyowaingiza madarakani na ubora wa katiba ni msingi imara kabisa kwa ustawi wa taifa lolote. Tuache mzaha, tudai katiba mpya na mara zote tuwe majasiri wa kuitetea katiba yetu.Nadhani ulienda shuleni kujifunza kusoma na kuandika. Kama umeweza ku register, ku sign in kwa user name yako na pssword. Basi unaweza ku google notisi za civics au elimu ya uraia mwema ili ujifunze maana ya katiba kimya kimya bila wa kuuona wazwazi ujinga wako ambao hata darasa la saba anayejitambua hana