Katiba Mpya ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Katiba Mpya ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

bhokesa

Senior Member
Joined
Feb 23, 2018
Posts
138
Reaction score
116
NI muhimu tukusanye sahihi za wananchi 10milioni ili tupeleke petition mahakamani kudai mchakato wa katiba kukamilishwa.

Wadau hili si la cdm wala ccm. Ni haki ya watanzania wote kwa ajili ya kuhakikisha tunatawaliwa kwa haki na amani na kuwa serikali zetu ziwajibike kwetu.

Katiba mpya itahakikisha uhuru wa mihimili ya dola na kunakuwepo na demokrasia pana hasa uhuru wa kiraia na vyombo vya habari.

Haki ya elimu bora na haki ya kumiliki rasilimali zetu kwa maendeleo endelevu ya vizazi vyetu.

Leo nani anajua kesho yake?
 
NI muhimu tukusanye sahihi za wananchi 10milioni ili tupeleke petition mahakamani kudai mchakato wa katiba kukamilishwa.

Wadau hili si la cdm wala ccm. Ni haki ya watanzania wote kwa ajili ya kuhakikisha tunatawaliwa kwa haki na amani na kuwa serikali zetu ziwajibike kwetu.

Katiba mpya itahakikisha uhuru wa mihimili ya dola na kunakuwepo na demokrasia pana hasa uhuru wa kiraia na vyombo vya habari.

Haki ya elimu bora na haki ya kumiliki rasilimali zetu kwa maendeleo endelevu ya vizazi vyetu.

Leo nani anajua kesho yake?
Wakutuunga mkono wapo. Kazi yetu sahihi tu
882f4eb7f060ab048bd9361b075cefb0.jpg
 
Back
Top Bottom