Katiba mpya ya nini?

illegal migrant

JF-Expert Member
Joined
Oct 18, 2013
Posts
1,277
Reaction score
1,121
Kwa yeyote atakayosoma uzi huu naomba ahakikishe ameuelewa kabla ya ku changia, kumekuwa na kilio cha wengi kuomba mabadiliko ya katiba ile ya mwaka 77, wiki kama mbili zilizopita ilitoka ripoti ya utafiti kutoka taasisi ya OSIEA ambayo alikabidhiwa waziri wa katiba na sheria ikionyesha asilimia hamsini + hawaelewi chochote kuhusu katiba hii ikijumuisha wale wasiojua kabisa katiba ni nini, pili kumekuwepo na tuhuma nyingi kwamba katiba iliyopo haifuatwi,
Swali la msingi ni, kama zaidi ya asilimia 50 hatujui chochote kuhusu katiba, na kama katiba iliyopo tunadai haifuatwi kuna umuhimu wowote wa kuendelea kudai katiba mpya?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…