Katiba mpya yaipasua CCM


mkuu kama kupotosha ni taaruma yako tuambie,lini na wapi ccm wamepinga rasimu ya katiba kama siyo kudanganya watu,ndiyo kwanza ccm wamekaa jana ili waijadili rasimu kama tunavyojadili mimi na wewe na wakati ukifika wataenda kutoa maoni yao kwenye tume na lazima ukumbuke kuwa hii siyo katiba bali ni rasimu hivyo itaendelea kuboreshwa kutokana na maoni yatakayotolewa na watanzania.
 
Nimekuwa nikifuatilia kwa makini mijadak=la na maoni mbalimambali wananchi kuhusu muswada wa Katiba yetu mpya iliyotolewa na Mh. Jaji mstaafu Joseph Warioba na mustakabali wa taifa letu. Watoa maoni wengi upande wa CCM wamekuwa wakiukosoa vikali-na wameitisha kikao, hasa suala la Muungano wakitaka kuwe na serikali mbili kama zamani. Mimi naona wana ajenda ya siri nyuma ya pazia.
 
Hii ni Rasimu tuu na ccm haya ndio maoni yao hapa ni.hoja kama watakuwa na hoja wakaitetea ikakubalika ni sawa, kama haitaungwa mkono hilo ni jambo jingine maana kama chama lazimq wawe na msimamo wao na cyo lazima uwe ndo msimamo wa watanzania wote.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…