jashmoe32
JF-Expert Member
- Dec 4, 2012
- 1,089
- 424
Habari wajumbe,
Siungi mkono hoja ya katiba mpya kugeuzwa kama hoja ya ccm au chadema mana Katiba mpya ni kwa ajili ya nchi nzima na sio kichama na sio Chama kimoja kiwashawish watu wachague mawazo sawa na wanavotaka wao na hata ukilia sidhani kama unamuelimisha mtu,tunataka hoja za kutuconvince ili tuone uhalali wa jambo na ndo tukuelewe na kukuunga mkono na sio tuanze kusema mpaka mtu mkubwa akilia basi ujue jambo limekugusa,kuna mwinine analia kwa ajili ya kujionesha tu mbele ya chama na kiukweli toka moyoni siungi mkono uteuzi wa Mkubwa kwa hawa wajumbe,kwa nini usingefanyika kama uchaguz mdogo wa kuchagua wajumbe toka kila mkoa+kila chama kinatoa wajumbe 10,asasi nazo zitoe watu wao yani tungeminimize cost kuliko kwa yanayofanyika mana asilimia kubwa ni wachama flani na tutegemee nini kipya?
Narudia tena kusema kua tumechezea hela zetu watanzania na tunapoteza muda wa watanzania na ni fursa ya watu kujijenga kiuchumi mana Posho wanayopata kwa siku ni zaidi ya mshahara wa walimu au wafanyakazi wa Steel masters
Mkubwa inafika hatua yabidi ufanye uamuzi mgumu na kuwatosa washkaji kwa maendeleo ya nchi mana hao hao washkaji ndo wanaokuangusha.
Nimesoma makala wanasema uchumi wa Tanzania uko juu,kivip?au wameunganisha resource zote tulizonazo like Valuable minerals ambazo hatujazivuna au na wanyama tulionao ambao wanategemea kuvuna.
Siungi mkono hoja ya katiba mpya kugeuzwa kama hoja ya ccm au chadema mana Katiba mpya ni kwa ajili ya nchi nzima na sio kichama na sio Chama kimoja kiwashawish watu wachague mawazo sawa na wanavotaka wao na hata ukilia sidhani kama unamuelimisha mtu,tunataka hoja za kutuconvince ili tuone uhalali wa jambo na ndo tukuelewe na kukuunga mkono na sio tuanze kusema mpaka mtu mkubwa akilia basi ujue jambo limekugusa,kuna mwinine analia kwa ajili ya kujionesha tu mbele ya chama na kiukweli toka moyoni siungi mkono uteuzi wa Mkubwa kwa hawa wajumbe,kwa nini usingefanyika kama uchaguz mdogo wa kuchagua wajumbe toka kila mkoa+kila chama kinatoa wajumbe 10,asasi nazo zitoe watu wao yani tungeminimize cost kuliko kwa yanayofanyika mana asilimia kubwa ni wachama flani na tutegemee nini kipya?
Narudia tena kusema kua tumechezea hela zetu watanzania na tunapoteza muda wa watanzania na ni fursa ya watu kujijenga kiuchumi mana Posho wanayopata kwa siku ni zaidi ya mshahara wa walimu au wafanyakazi wa Steel masters
Mkubwa inafika hatua yabidi ufanye uamuzi mgumu na kuwatosa washkaji kwa maendeleo ya nchi mana hao hao washkaji ndo wanaokuangusha.
Nimesoma makala wanasema uchumi wa Tanzania uko juu,kivip?au wameunganisha resource zote tulizonazo like Valuable minerals ambazo hatujazivuna au na wanyama tulionao ambao wanategemea kuvuna.