Katiba na babu wa loliondo

Katiba na babu wa loliondo

CHEMPO

JF-Expert Member
Joined
Nov 24, 2011
Posts
368
Reaction score
60
Mimi kama mtanzania safi napenda kuishauri serekali iweke kipengele kinachoonyesha idadi ya watanzania walioenda loliondo kwa babu kwa ajili ya kutibiwa..hii itatusaidia kujua babu alipata shilingi ngapi ili itusaidie kumtoza paye
 
babu akifa je?bunge lije kitoa? hao ni TRA na vyombe vingine vya serikali vije na data halfu waangalie pa kupata kodi na mapato mengine yanayotokana na ujio wa wageni.
 
Back
Top Bottom