Katiba na mahitaji yetu

The dirt paka

JF-Expert Member
Joined
Apr 11, 2011
Posts
371
Reaction score
68
Hatuna haja ya kubishana na mamlaka sana kuhusu katiba tunayoitaka ila la msingi ni kuomba KATIBA HIYO ITUACHIE UHURU WETU KATIKA DINI NA KUABUDU, bila kujali ni mamlaka ya nani/ipi/ kati ya watawala na wapinzani au umma imeamua katiba iweje.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…