Pre GE2025 Katiba na Tume Huru ya Uchaguzi kipi kilipaswa kuanza?

Pre GE2025 Katiba na Tume Huru ya Uchaguzi kipi kilipaswa kuanza?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Mzee wa Twitter

JF-Expert Member
Joined
Nov 5, 2023
Posts
1,483
Reaction score
2,392
Wadau nawasabahi.

Pamoja na Elimu ndogo ya Mambo ya sheria lakini nimepata mashaka kidogo juu ya KATIBA na TUME ya UCHAGUZI.

Binafsi naamini KATIBA ndio Chombo cha Sheria zote za Nchi. Vitu vingine vyote lazima vianzishwe kwa kuzingatia KATIBA inasemaje.

Nilitarajia TUME ya UCHAGUZI ingebadili Jina kwa Sheria iliyopo kwenye KATIBA kwani KATIBA yetu bado inaitaja TUME ya UCHAGUZI haiseme tuna TUME HURU ya UCHAGUZI.

Je, Wanasheria hii TUME HURU ya UCHAGUZI ni halali kuitwa hivyo kwa MUJIBU wa KATIBA? Je, KATIBA inaitambua TUME HURU ya UCHAGUZI?

Je, kuwa na TUME HURU ya UCHAGUZI bila KATIBA kusema ni UVUNJIFU wa KATIBA?
 
Tundu Lissu anaitesa sana serikali, sijui ni kwa nini wasimuite na kuchota akili zake kwa manufaa ya nchi nzima Tanzania? Serikali, acheni kuchupaza shingo, huyu Lissu ni mmoja wetu, tumieni akili na maarifa yake tusonge mbele....
 
Wadau nawasabahi.

Pamoja na Elimu ndogo ya Mambo ya sheria lakini nimepata mashaka kidogo juu ya KATIBA na TUME ya UCHAGUZI.

Binafsi naamini KATIBA ndio Chombo cha Sheria zote za Nchi. Vitu vingine vyote lazima vianzishwe kwa kuzingatia KATIBA inasemaje.

Nilitarajia TUME ya UCHAGUZI ingebadili Jina kwa Sheria iliyopo kwenye KATIBA kwani KATIBA yetu bado inaitaja TUME ya UCHAGUZI haiseme tuna TUME HURU ya UCHAGUZI.

Je, Wanasheria hii TUME HURU ya UCHAGUZI ni halali kuitwa hivyo kwa MUJIBU wa KATIBA? Je, KATIBA inaitambua TUME HURU ya UCHAGUZI?

Je, kuwa na TUME HURU ya UCHAGUZI bila KATIBA kusema ni UVUNJIFU wa KATIBA?
ni vizuri tukajikita kwenye vikao vya bajeti na maandalizi ya uchaguzi wa serikali za mtaa mapema mwishoni mwa mwaka huu 2024 na uchaguzi mkuu ujao Oct 2025🐒

baada ya uchaguzi 2025, nadhani inaweza kua muafaka zaid kujadiliana hayo mawili, kwasabb kutakua na muda wa kutosha kuzungumza na waTanzania na kufikia muafaka wa pamoja kwa maslahi mapana ya mama Tanzania 🐒
 
Back
Top Bottom