Katiba ndio moyo wa taifa

Katiba ndio moyo wa taifa

Meneja Wa Makampuni

JF-Expert Member
Joined
Jul 7, 2020
Posts
7,899
Reaction score
10,415
Ni mimi meneja wa makampuni naomba hii maana ikumbukwe vizazi na vizazi ya kwamba.

"Katiba ndio moyo wa taifa"
Shughuli zote zinazofanywa ndani ya nchi zinasukumwa na katiba ambao ndio moyo.

Moyo ukiwa mbovu hushindwa kusukuma damu vizuri mwilini na kupelekea mwili kushindwa kufanya kazi zake ipasavyo.

Hata katiba ni vivo hivyo katiba ikiwa mbovu hufanya serikali ishindwe kufanya kazi zake vizuri ili kuwaletea wananchi maendeleo.
 
Wenzetu wanaokula mema ya nchi hawataki kusikia hii kitu kabisa.

Tuzidi kupaaza sauti uenda wakasikia siku moja.
 
Ni mimi meneja wa makampuni naomba hii maana ikumbukwe vizazi na vizazi ya kwamba.

"Katiba ndio moyo wa taifa"
Shughuli zote zinazofanywa ndani ya nchi zinasukumwa na katiba ambao ndio moyo.

Moyo ukiwa mbovu hushindwa kusukuma damu vizuri mwilini na kupelekea mwili kushindwa kufanya kazi zake ipasavyo.

Hata katiba ni vivo hivyo katiba ikiwa mbovu hufanya serikali ishindwe kufanya kazi zake vizuri ili kuwaletea wananchi maendeleo.
Katiba isiyotumika ipasavyo,hugeuka kitu kingine tofauti na moyo wa taifa.
 
Back
Top Bottom