Katiba ni Mwafaka wa Kitaifa. Viongozi zungumzeni


Kiukweli watu kutumia shida zetu kuendeleza maslahi yao, Mona ukimwi unatumaliza watu hatutumii busara kuuepuka(starehe), Elimu yetu inadidimia kila siku mbona hatujasikia hata busara ya hawa wanaotaka busara leo, mama dada n awake zetu wanapalamiwa(bakwa) HUKO MTWARA na majeshi kama kuku hawa mashetani hawaioni hyo busara yao,ila leo kwenye kiini cha ulaji(KATIBA) ndio mtu anaibuka shimoni na busara ambayo hajawahi kuwa nayo hata siku moja. Sio siri ninahasira na kauli za kipumbavu kama hizi...Eti busara!!!! SHIT!!!!!!!! I SAY OUR DAY WILL COME, WHEN ALMIGHTY GOD WILL STOP THE SUN, TO LET US IN LIGHT TILL WE WIN THE BATTLE LIKE IN THE DAYS OF JOSHUA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…