OHA
Member
- Aug 20, 2013
- 34
- 42
Katiba ni takwa kwa watu wote
Bila kuwa na katiba hakuna tafsiri sahihi ya muongozo wa nchi. Ukitaka uweke utaratibu wa uwajibikaji lazima tuwe na katiba dhabiti inayobeba mwelekeo wa wananchi na yenye kuwa na usawa.
Kwanini katiba inampa kinga rais, spika, waziri mku na mwanasheria mkuu maana yake katiba inaweza kuchezewa ili uwajibishwaji usiwepo.
Ili kujenga nchi imara na uwajibikaji kwa watu wote katiba ya mzee warioba imejieleza vizuri na inawapa wananchi malaka ya kumuwajibisha muwakilishi yani Mbunge kabla hata ya kumaliza muda wake.
Pia anapo tokea mtu kutoa matamko yasio endana na kikatiba inapaswa awajibishwe kisheria iwe baada au kabla.
Tuondoe teuzi ambazo zinalenga kuretaini wawajibikaji ambao watatetea tawala zilizo madarakani.
Rasimu ilioandaliwa chini ya uongozi wa warioba natumaini mama akiitukia itatusaidia kuweza kufikia uchumi ambao mama anautizamia na haitakuwa na makando kando yanayo leta ukakasi.
Katiba mpya ndiyo dira na nyenzo ya kutufikisha uchumi ulio dhabiti na wabunge wawapo bungeni watambue hawaendi kutetea chama wanaenda kutetea maslahi ya nchi.
Tunataka ufike mahali tuone hela tunazo lipa wabunge zinaendana na utendaji na uwajibikaji kuliko waende kupiga makofi bure bila kutusaidia wananchi tulicho watuma
Bila kuwa na katiba hakuna tafsiri sahihi ya muongozo wa nchi. Ukitaka uweke utaratibu wa uwajibikaji lazima tuwe na katiba dhabiti inayobeba mwelekeo wa wananchi na yenye kuwa na usawa.
Kwanini katiba inampa kinga rais, spika, waziri mku na mwanasheria mkuu maana yake katiba inaweza kuchezewa ili uwajibishwaji usiwepo.
Ili kujenga nchi imara na uwajibikaji kwa watu wote katiba ya mzee warioba imejieleza vizuri na inawapa wananchi malaka ya kumuwajibisha muwakilishi yani Mbunge kabla hata ya kumaliza muda wake.
Pia anapo tokea mtu kutoa matamko yasio endana na kikatiba inapaswa awajibishwe kisheria iwe baada au kabla.
Tuondoe teuzi ambazo zinalenga kuretaini wawajibikaji ambao watatetea tawala zilizo madarakani.
Rasimu ilioandaliwa chini ya uongozi wa warioba natumaini mama akiitukia itatusaidia kuweza kufikia uchumi ambao mama anautizamia na haitakuwa na makando kando yanayo leta ukakasi.
Katiba mpya ndiyo dira na nyenzo ya kutufikisha uchumi ulio dhabiti na wabunge wawapo bungeni watambue hawaendi kutetea chama wanaenda kutetea maslahi ya nchi.
Tunataka ufike mahali tuone hela tunazo lipa wabunge zinaendana na utendaji na uwajibikaji kuliko waende kupiga makofi bure bila kutusaidia wananchi tulicho watuma