Katiba pendekezwa haijaonyesha heshima kwa familia ya Mwalimu Nyerere

Katiba pendekezwa haijaonyesha heshima kwa familia ya Mwalimu Nyerere

Andrew Nyerere

JF-Expert Member
Joined
Nov 10, 2008
Posts
3,007
Reaction score
2,451
Ni jambo limetokea jana mpaka watu wakaanza kueneza uvumi kwamba Mama amefariki? Kama Katiba ingesema kitu specific kuhusu familia ya . Mwalimu Nyerere,jambo hilo lisingetokea. Kwa mfano katiba ya Uingereza inasema the crown is above the court. Ingekuwa vizuri kama provizo hiyo ingekuwa hapa Tanzania, halafu familia Nyerere ingekuwa juu ya mahakama. Ndio hio tu complaint yangu kuhusu katiba mpya otherwise naona kwamba it is fine.
 
Mkuu ingefaa tu kama nchi hii ingekua inaendeshwa kifalme
 
Halafu katika mpya inapendekeza cabinet isitoke katika bunge kama wanavyofanya usa. Katika system hiyo as they practice it in america mtu ambaye yupo katika chama cha upinzani anaweza kuchaguliwa kuwa waziri. Kama vile republican william cohen alivyokuwa waziri wa ulinzi wa democrat bill clinton.
 
Napinga ukomo wa kugombea urais. Rais achaguliwe as long as people want him to be president. Achaguliwe mtu ambaye anaweza kuleta the greatest good to the greatest number of people for the greatest amount of time.
 
Halafu katika mpya inapendekeza cabinet isitoke katika bunge kama wanavyofanya usa. Katika system hiyo as they practice it in america mtu ambaye yupo katika chama cha upinzani anaweza kuchaguliwa kuwa waziri. Kama vile republican william cohen alivyokuwa waziri wa ulinzi wa democrat bill clinton.
 
Ni jambo limetokea jana mpaka watu wakaanza kueneza uvumi kwamba. Mama amefariki? Kama. Katiba ingesema kitu specific kuhusu familia ya . Mwalimu. Nyerere,jambo hilo lisingetokea. Kwa mfano katiba ya uingereza inasema the crown is above the court. Ingekuwa vizuri kama provizo hiyo ingekuwa hapa tanzania,halafu familia nyerere ingekuwa juu ya mahakama. Ndio hio tu complaint yangu kuhusu katiba mpya otherwise naona kwamba it is fine.

Hiyo ndiyo katiba pendwa ya chama chako cha mapinduzi, iliyohaririwa na nyoka mwenye makengeza Mheshimiwa mtemi Andrew Chenge.
 
Napinga ukomo wa kugombea urais. Rais achaguliwe as long as people want him to be president. Achaguliwe mtu ambaye anaweza kuleta the greatest good to the greatest number of people for the greatest amount of time.

Hii labda raisi awe mungu tu,binadamu ana asili ya uroho wa madaraka na kujisahau mkuu.
 
Kwa kutambua umuhimu wa Waasisi wa Taifa Hili akiwamo Mwl J.K Nyerere KATIBA INAYOPENDEKEZWA katika utangulizi inasema...

NA KWA KUZINGATIA, urithi tulioachiwa na Waasisi wa Taifa letu wa kujenga nchi yenye umoja wa watu wake ambao hawabaguani kwa misingi ya ukabila, dini, rangi, jinsi, ulemavu au ubaguzi wa aina nyingine yoyote;

Kawaida Katiba haitaji jina la Mtu mmoja mmoja.
 
huyu amevurugwa si bure. hivi naye ni mmoja wa walokuwa wanatafutwa jana kuhusu uwezo wao?
 
Ni jambo limetokea jana mpaka watu wakaanza kueneza uvumi kwamba. Mama amefariki? Kama. Katiba ingesema kitu specific kuhusu familia ya . Mwalimu. Nyerere,jambo hilo lisingetokea. Kwa mfano katiba ya uingereza inasema the crown is above the court. Ingekuwa vizuri kama provizo hiyo ingekuwa hapa tanzania,halafu familia nyerere ingekuwa juu ya mahakama. Ndio hio tu complaint yangu kuhusu katiba mpya otherwise naona kwamba it is fine.


Titanic
 
Bora jamaa usingekuwa verified hapa JF aiseee ningekuwa na assume ni mvuta bange tu.

Sijawahi kukuelewa kabisa hapa jamvini.

It's either you or I need a doctor.
 
  • Thanks
Reactions: amu
Back
Top Bottom