Katiba pendekezwa inagawiwa kama njuu kwa watumishi wa umma!

Katiba pendekezwa inagawiwa kama njuu kwa watumishi wa umma!

MAKULUGA

JF-Expert Member
Joined
Jan 21, 2011
Posts
7,828
Reaction score
10,527
lA KUVUNDA HALIANA UBANI! WIZARA YA SHERIA NA KATIBA WIKI HII INAGAWA MAELFU YA NAKALA YA KATIBA PENDEKEZWA KATIAKA WIZARA MBAL2 HAPA MJINI.
HIVI SI WLAPANGAWAPIGE KUA 3 APRIL ...HIZ NAKALZILIKUWA WAPI ! WIZARAKWETU KILA MTU ANABEBA NAKALA ANAOWEZA !MIMINIECUKUA 5 KWAAILI YA WATOTO KUCHEZEA WA KUBADIKA PICHA ZA STIKA ,NA WAMESEMA NIWAONGEZEE!
 
Rudi basi uje ufanye editing.
lA KUVUNDA HALIANA UBANI! WIZARA YA SHERIA NA KATIBA WIKI HII INAGAWA MAELFU YA NAKALA YA KATIBA PENDEKEZWA KATIAKA WIZARA MBAL2 HAPA MJINI.
HIVI SI WLAPANGAWAPIGE KUA 3 APRIL ...HIZ NAKALZILIKUWA WAPI ! WIZARAKWETU KILA MTU ANABEBA NAKALA ANAOWEZA !MIMINIECUKUA 5 KWAAILI YA WATOTO KUCHEZEA WA KUBADIKA PICHA ZA STIKA ,NA WAMESEMA NIWAONGEZEE!
 
lA KUVUNDA HALIANA UBANI! WIZARA YA SHERIA NA KATIBA WIKI HII INAGAWA MAELFU YA NAKALA YA KATIBA PENDEKEZWA KATIAKA WIZARA MBAL2 HAPA MJINI.
HIVI SI WLAPANGAWAPIGE KUA 3 APRIL ...HIZ NAKALZILIKUWA WAPI ! WIZARAKWETU KILA MTU ANABEBA NAKALA ANAOWEZA !MIMINIECUKUA 5 KWAAILI YA WATOTO KUCHEZEA WA KUBADIKA PICHA ZA STIKA ,NA WAMESEMA NIWAONGEZEE!

Hakika wewe umevuta bangi, post haieleweki naona umelipwa na kutumwa na wachumia tumbo wenzako uje kuchafua upepo humu, hiyo Katiba umepewa wewe peke yako!!!
 
Mtoa post kaandika akiwa ameshikiwa bastola mgongoni ili awahishe post kupotosha umma!! duu hili balaa na utakuta huyu ni msomi,njaa nyingine mbaya jamani!!!!
 
Huyu ni Mtumishi wa wizarani lakini hata kuandika hajui!! Nahisi ni mfagiaji!!
 
Sio hata mfagiaji,nadhani huyo yuko kwenye wizara binafsi,anatumia jina la wizara kutoa hoja zisizo na mashiko,namuomba akashike jembe alime,au atafute kazi ya kufanya,aliyekutuma hakupima akili yako kwanza,unaandika vitu havieleweki.
 
Kwani katiba inayopendekezwa ikigawiwa kwa watumishi wa hizo wizara kuna tatizo gani,si jambo jema hilo watu wajielimishe na wapate uelewa wakutosha na mwisho wafanye uamuzi sahihi,tuache kukurupuka na kuweka vitu humu jf wakati hatujapanga hoja vzr
 
Kwani katiba inayopendekezwa ikigawiwa kwa watumishi wa hizo wizara kuna tatizo gani,si jambo jema hilo watu wajielimishe na wapate uelewa wakutosha na mwisho wafanye uamuzi sahihi,tuache kukurupuka na kuweka vitu humu jf wakati hatujapanga hoja vzr

Wewe ndo utakua mtoa post umekuja na ID nyingine,umeisoma hiyo post lakini?huyo hata nia yake sio kwamba ni haki ya hao watumishi kuzipata bali kalenga kuchafua hali ya hewa ndo maana kaandika la kuvunda, sasa kwa taarifa yako umepotea njia kuungana na mtu asiyejielewa tena amekejeli soma mwenyewe hilo li post ndo utaelewa usikimbilie kusapoti uZi mfupi namna hii!!!
 
lA KUVUNDA HALIANA UBANI! WIZARA YA SHERIA NA KATIBA WIKI HII INAGAWA MAELFU YA NAKALA YA KATIBA PENDEKEZWA KATIAKA WIZARA MBAL2 HAPA MJINI.
HIVI SI WLAPANGAWAPIGE KUA 3 APRIL ...HIZ NAKALZILIKUWA WAPI ! WIZARAKWETU KILA MTU ANABEBA NAKALA ANAOWEZA !MIMINIECUKUA 5 KWAAILI YA WATOTO KUCHEZEA WA KUBADIKA PICHA ZA STIKA ,NA WAMESEMA NIWAONGEZEE!
Unaharakia wapi wewe mbona ulichokinadika hakieleweki as if unasoma chekechea?! Khaaaa andika upya usomeke
 
Sio hata mfagiaji,nadhani huyo yuko kwenye wizara binafsi,anatumia jina la wizara kutoa hoja zisizo na mashiko,namuomba akashike jembe alime,au atafute kazi ya kufanya,aliyekutuma hakupima akili yako kwanza,unaandika vitu havieleweki.

Jamani mmesahau hata times fm kuna wizara ya michezo....hata vyuoni tu kuna vyuo huyu kapotea njia kabisa hahahahahahahhahah
 
lA KUVUNDA HALIANA UBANI! WIZARA YA SHERIA NA KATIBA WIKI HII INAGAWA MAELFU YA NAKALA YA KATIBA PENDEKEZWA KATIAKA WIZARA MBAL2 HAPA MJINI.
HIVI SI WLAPANGAWAPIGE KUA 3 APRIL ...HIZ NAKALZILIKUWA WAPI ! WIZARAKWETU KILA MTU ANABEBA NAKALA ANAOWEZA !MIMINIECUKUA 5 KWAAILI YA WATOTO KUCHEZEA WA KUBADIKA PICHA ZA STIKA ,NA WAMESEMA NIWAONGEZEE!

Mmmmh mashikolomageni mjomba ziko sawa huko ghorofani kweli....
 
lA KUVUNDA HALIANA UBANI! WIZARA YA SHERIA NA KATIBA WIKI HII INAGAWA MAELFU YA NAKALA YA KATIBA PENDEKEZWA KATIAKA WIZARA MBAL2 HAPA MJINI.
HIVI SI WLAPANGAWAPIGE KUA 3 APRIL ...HIZ NAKALZILIKUWA WAPI ! WIZARAKWETU KILA MTU ANABEBA NAKALA ANAOWEZA !MIMINIECUKUA 5 KWAAILI YA WATOTO KUCHEZEA WA KUBADIKA PICHA ZA STIKA ,NA WAMESEMA NIWAONGEZEE!

Umasikini wa mawazo ni tatizo kubwa sana. Ukombozi wa mtu unaanza kwa mtu kujitambua. Hata kuandika shida. Kwa mtindo huu! Hatari! Kazi ipo.
 
Back
Top Bottom