Katiba pendekezwa mazuri na mabaya yake kwa makundi ya vijana na wanasanaa hasa michezo na burudani

Katiba pendekezwa mazuri na mabaya yake kwa makundi ya vijana na wanasanaa hasa michezo na burudani

Meme.com

Member
Joined
Dec 24, 2011
Posts
23
Reaction score
0
Mimi ni mwanamichezo mwenye lengo la kuendelea katika sekta nzima ya kimichezo
natakata kufanya maamuzi sahihi hapo tarehe 30 mwezi huu kwa kuichagua KATIBA HII INAYOPENDEKEZWA
lakini nina uelewa mdogo wa masuala ya kikatiba hasa katika masuala yanayolenga makundi ya VIJANA na SANAA hasa katika Michezo na Burudani

wadau wa JF NAOMBENI MSAADA.


NAWASILISHA
 
Mimi ni mwanamichezo mwenye lengo la kuendelea katika sekta nzima ya kimichezo
natakata kufanya maamuzi sahihi hapo tarehe 30 mwezi huu kwa kuichagua KATIBA HII INAYOPENDEKEZWA
lakini nina uelewa mdogo wa masuala ya kikatiba hasa katika masuala yanayolenga makundi ya VIJANA na SANAA hasa katika Michezo na Burudani

wadau wa JF NAOMBENI MSAADA.


NAWASILISHA

Isome vema hiyo katiba ili uielewe utakujagundua mambo mengi mazuri ndani yake.
 
Mimi ni mwanamichezo mwenye lengo la kuendelea katika sekta nzima ya kimichezo
natakata kufanya maamuzi sahihi hapo tarehe 30 mwezi huu kwa kuichagua KATIBA HII INAYOPENDEKEZWA
lakini nina uelewa mdogo wa masuala ya kikatiba hasa katika masuala yanayolenga makundi ya VIJANA na SANAA hasa katika Michezo na Burudani

wadau wa JF NAOMBENI MSAADA.


NAWASILISHA

Ninashukuru kwa uungwana wako wa kuomba msaada lakini kabla ya kukupatia msaada ni vema ukawa wazi ufafanuzi unaohitaji kwenye katiba pendekezwa unahusu ibara gani?
 
Mimi ni mwanamichezo mwenye lengo la kuendelea katika sekta nzima ya kimichezo
natakata kufanya maamuzi sahihi hapo tarehe 30 mwezi huu kwa kuichagua KATIBA HII INAYOPENDEKEZWA
lakini nina uelewa mdogo wa masuala ya kikatiba hasa katika masuala yanayolenga makundi ya VIJANA na SANAA hasa katika Michezo na Burudani

wadau wa JF NAOMBENI MSAADA.

NAWASILISHA

Hongera sana ndg Meme.com kwa kuwa na mawazo mema yenye kuwajenga vijana na maono yao ya kuwa na mwanga bora wa maisha yao na ustawi wa jamii katika Nyanja ya utamaduni.

Sasa kuhusu suala lako la "uelewa mdogo wa masuala ya kikatiba hasa katika masuala yanayolenga makundi ya VIJANA na SANAA hasa katika Michezo na Burudani" Suala hilo lipo katika Katiba Inayopendekezwa enneo linalohusu Uhuru wa taaluma, ubunifu, ugunduzi na usanii Ibara ya 59.-(1) Kila mtu atakuwa na uhuru wa kushiriki kwenye mambo yanayoendeleza na kukuza sanaa, taaluma, ubunifu na ugunduzi. (2) Kila mtu atakuwa na uhuru wa kujifunza, kufundisha, kutafiti na kueneza matumizi ya matokeo ya utafiti kulingana na kanuni za kitaaluma na za kiutafiti.

Zaidi ya hayo (3) Serikali itakuza na kuendeleza utafiti, ubunifu na ugunduzi katika sanaa, sayansi na teknolojia kwa kutunga sheria ambazo: (a) zitalinda hakimiliki na hataza na haki za wabunifu, watafiti na wasanii; (b) zitawezesha taasisi za elimu na za utafiti kutumia ugunduzi wao kwa manufaa ya Taifa; (c) zitasimamia uhamishaji wa sayansi na teknolojia; (d) zitawezesha kukuza rasilimali watu kwenye nyanja za kitaaluma, sayansi, teknolojia na ubunifu; (e) zitalinda na kusimamia ubora wa taaluma, utafiti na matumizi ya ugunduzi na ubunifu; na (f) zitafafanua mambo mengine yanayohusu hakimiliki na hataza.
 
Mimi ni mwanamichezo mwenye lengo la kuendelea katika sekta nzima ya kimichezo
natakata kufanya maamuzi sahihi hapo tarehe 30 mwezi huu kwa kuichagua KATIBA HII INAYOPENDEKEZWA
lakini nina uelewa mdogo wa masuala ya kikatiba hasa katika masuala yanayolenga makundi ya VIJANA na SANAA hasa katika Michezo na Burudani

wadau wa JF NAOMBENI MSAADA.


NAWASILISHA
ni wazo zuri ingia kwenye mtandao isome ili uachane na propagnda zinazoenezwa na watu wachache wadio ipenda tz
 
toon.jpg
 
Back
Top Bottom