KATIBA PENDEKEZWA NA MAZURI YAKE ndani ya vipengele vyake

KATIBA PENDEKEZWA NA MAZURI YAKE ndani ya vipengele vyake

mwakweya70

JF-Expert Member
Joined
Feb 13, 2015
Posts
414
Reaction score
106
Salaam wana jamvi,sitaki kuandikia mate na wino upo, ndani ya katiba Pendekezwa tutafakari wote sura ya kwanza sehem ya pili:-

SURA YA KWANZA YA KATIBA PENDEKEZWA.

"SEHEMU YA PILIMAMLAKA YA WANANCHI, UTII NA HIFADHI YA KATIBAMamlaka ya 7.-(1) Wananchi ndiyo msingi wa mamlaka yote, na kwa hiyo: Wananchi (a) Serikali itapata madaraka na mamlaka yake kutoka kwa wananchiambao kwa umoja na ujumla wao wanaimiliki na kuipatia Katiba hiiuhalali;(b) lengo kuu la Serikali litakuwa ni maendeleo na ustawi wa wananchi;(c) Serikali itawajibika kwa wananchi"

Katika kipengele hiki naona jinsi katiba hii pendekezwa inavyotoa uhuru wa kuamua mambo kwa kiasi kikubwa kabisa,nakubaliana na kipengele hiki.

Ukisoma kifungu kwa kifungu ndo utagundua uzuri wa yaliyomo ndani ya katiba pendekezwa.
 
Salaam wana jamvi,sitaki kuandikia mate na wino upo, ndani ya katiba Pendekezwa tutafakari wote sura ya kwanza sehem ya pili:-

SURA YA KWANZA YA KATIBA PENDEKEZWA.

"SEHEMU YA PILIMAMLAKA YA WANANCHI, UTII NA HIFADHI YA KATIBAMamlaka ya 7.-(1) Wananchi ndiyo msingi wa mamlaka yote, na kwa hiyo: Wananchi (a) Serikali itapata madaraka na mamlaka yake kutoka kwa wananchiambao kwa umoja na ujumla wao wanaimiliki na kuipatia Katiba hiiuhalali;(b) lengo kuu la Serikali litakuwa ni maendeleo na ustawi wa wananchi;(c) Serikali itawajibika kwa wananchi"

Katika kipengele hiki naona jinsi katiba hii pendekezwa inavyotoa uhuru wa kuamua mambo kwa kiasi kikubwa kabisa,nakubaliana na kipengele hiki.

Ukisoma kifungu kwa kifungu ndo utagundua uzuri wa yaliyomo ndani ya katiba pendekezwa.
Safi sana na huo ndo ukweli lkn baadhi ya watanzania wamekuwa wavivu kuisoma na wamekuwa wa kwanza wa kuikosoa huku wakisahau mazuri yaliyomo. Tuwaelimishe na kuwashauri waisoma na mwisho wa siku wapige kura ya ndiyooooo
 
Safi sana na huo ndo ukweli lkn baadhi ya watanzania wamekuwa wavivu kuisoma na wamekuwa wa kwanza wa kuikosoa huku wakisahau mazuri yaliyomo. Tuwaelimishe na kuwashauri waisoma na mwisho wa siku wapige kura ya ndiyooooo
Kuna haja ya kuhamasishana watanzania jamani tuache kusikiliza maneno ya kuambiwa katika hili la katiba inayopendekezwa kwa kuwa tunayo nafasi ya kuisoma katiba pendekezwa ili hatimaye tufanye uamuzi sahihi utakaolipeleka taifa letu katika ustawi endelevu kwa kuwa katiba ndio sheria mama katika nchi yoyote,hivyo kwa wtanznia hii ni hatua kubwa kwa taifa letu na msingi wa tanznia mpya. Heko watanznia wenzangu tufanye juhudi katika kuhakikisha kuwa tunakamilisha mchakato huu kwa amani na hatimaye tunaipigia kura katiba inayopendekezwa wakati utakapofika
 
ebwana kweli kabisa umeongea point mambo mengi mazuri yapo lkn watu wanataka negativu tu
 
ebwana kweli kabisa umeongea point mambo mengi mazuri yapo lkn watu wanataka negativu tu

Haa! Wee hukujua hilo? Katika jamii yeyote huwakosi watu wa namna hiyo. Hawa huwa ni mabingwa wa reverse, kugeuza maneno wao siyo kazi ngumu. Kama ni wafuatiliaji wazuri wa mijadala humu JF kuna mchangiaji mmoja alikuwa anatoa vitu kinyume na ukweli wa maandishi yenyewe yalivyo. Anyway, wapo ili mijadala iendelee kuwa mizuri kwa maendeleo ya nchi yetu. Tuwaelimishe wanapokosea na tuwahimize kushiriki kikamilifu katika masuala ya kitaifa kama ilivyo sasa kwa issue Katiba Inayopendekezwa.
 
[h=2]Mahakama ya Kadhi Haipo kwenye Quran[/h]
Ndugu wasomaji.

Leo ningependa kusema kuwa, dai la Waislam wa Tanzania la Mahakama ya Kadhi halina msingi wala usaidizi wa Quran.

Kwa wanao ifahamu Quran, watakubaliana na mimi kuwa HAKUNA AYA HATA MOJA ambayo Allah alisema na au Waamrisha Waislam waende kwenye Mahakama ya Kadhi. Narudia tena hakuna aya.

SASA NDUGU WAISLAM:


1. Who appoints Chief Kadhi and Kadhis?

2. What are the qualification for appointment to the office of a Kadhi (including a Chief Kadhi)?

3. Since the Kadhis are not trained lawyers who understand the Evidence Act and the Civil Procedure Act, how and/or what will they use to administer their Courts?

4. Muslims are mainly of two sects in Tanzania - the Sunni and Shia. Majority of the Muslims in Tanzania are Sunni Muslims but there is a significant population of Shia Muslims too and consideration ought to be given to the appointment of Kadhis of the Shia Sect to cater the interest of the Shia Muslims. Will they have two different Courts? For Sunni and Shia?

5. How will Muslim Women be protected since: Muslim law regards women as less than men in matters of both marriage and divorce, as well as devolution of property: Holy Quran Surah 2:228-232, and Surah 65:1-7 (only a man may divorce his wife even if he is required to provide for her); a man may beat his wife, even if lightly, the evidence of two women, is equal to evidence of one man (Surah 2:282). The application of such beliefs of faith are contrary to the Constitution.


Islamic "Kadhi" courtsis illegal and discriminatory.


Kwanini mnamsaidia Allah kwa kuanzisha Mahakama ya Kadhi?
 
Watanzania kiukweli tusipoipikia kura ya ndio katika pendekezwa tuyakujachekwa ujinga sana
 
Huyu Twahut anasemaje? maulamaa kuna jjahilia huku njooni muweke mambo sawa
 
Ismael tatizo ni uwezo wako na upeo wako hapo ndipo ulipoishia pole sana kaka.
 
Huyu Twahut anasemaje? maulamaa kuna jjahilia huku njooni muweke mambo sawa


Hawawezi kuja kuweka sawa kitu chochote humu, kila kitu kinajieleza wazi ukisoma,mazuri ndani ya katiba pendekezwa ni mengi sana,kwani kuna asiyejua kuwa mamlaka ya Serikali anatokana na wananchi,wewe na mimi thats why tunajiandaa kuipigia kura katiba pendekezwa ili ipate ridhaa ya wananchi, maana katiba ni yetu.
 
Hawawezi kuja kuweka sawa kitu chochote humu, kila kitu kinajieleza wazi ukisoma,mazuri ndani ya katiba pendekezwa ni mengi sana,kwani kuna asiyejua kuwa mamlaka ya Serikali anatokana na wananchi,wewe na mimi thats why tunajiandaa kuipigia kura katiba pendekezwa ili ipate ridhaa ya wananchi, maana katiba ni yetu.

Kutokana na uzuri wa hii Katiba, basi kura za NDIYO hazinabudi kuwa nyingi siku hiyo!!
 
Back
Top Bottom