mwakweya70
JF-Expert Member
- Feb 13, 2015
- 414
- 106
Kusema ukweli katika maisha ya kila siku ya mtanzania,katiba hii pendekezwa ukiijadili bila jazba na kutoa povu la ushindan bila hoja ndo mbaya! Lakini kwa ustawi wa tanzania ijayo katiba hii haina ubaya bali ni kilanga cha watu hasa tusiochanganya na zetu!ama sie wengine ni matokeo ya kuishi kwa kuambiwa ama maisha ya kanitukanie flani!kwa jambo mhimu la katiba halafu tukastaafu kufikiri na kukaririshwa kuwa katiba haifai ni utoto!katiba pendekezwa inafaa kwa tunaoongeza na zetu!ila kwa akina kanitukanie fulani hapo matusi ya kimoyo moyo tayari hahaaaaa