Katiba pendekezwa,sura ya 6 uraia katika Jamhuri ya Muungano

Katiba pendekezwa,sura ya 6 uraia katika Jamhuri ya Muungano

sentino2015

Senior Member
Joined
Apr 9, 2015
Posts
176
Reaction score
30
Ibara ya 68 kifungu cha 1 hadi cha 2,vifungu hivi viwili vinaeleza Mtu anayestahili kuwa Raia wa Tanzania kwa mjibu wa katiba na kifungu cha 2 ibara hiyo hiyo ya 68 Aina za Uraia na namna ya upatikanaji wa uraia huo kwa njia ya kuzaliwa AMA kuandikishwa! Ukiendelea ibara ya 69 katiba pendekezwa inaeleza Haki ya uraia.Ibara ya 70 kifungu cha kwanza hadi cha 6 c inaeleza uraia wa kuzaliwa na ibara ya 71 kifungu cha kwanza hadi 6 ni uraia wa kuandikishwa!JAMANI USILOLIJUA KAMA USIKU WA GIZA TUSOMENI KATIBA KISHA KURA YA NDIYO!kubeza bila kusoma twabeza hata mambo mazuri
 
Ibara ya 68 kifungu cha 1 hadi cha 2,vifungu hivi viwili vinaeleza Mtu anayestahili kuwa Raia wa Tanzania kwa mjibu wa katiba na kifungu cha 2 ibara hiyo hiyo ya 68 Aina za Uraia na namna ya upatikanaji wa uraia huo kwa njia ya kuzaliwa AMA kuandikishwa! Ukiendelea ibara ya 69 katiba pendekezwa inaeleza Haki ya uraia.Ibara ya 70 kifungu cha kwanza hadi cha 6 c inaeleza uraia wa kuzaliwa na ibara ya 71 kifungu cha kwanza hadi 6 ni uraia wa kuandikishwa!JAMANI USILOLIJUA KAMA USIKU WA GIZA TUSOMENI KATIBA KISHA KURA YA NDIYO!kubeza bila kusoma twabeza hata mambo mazuri

Jamii Forum ni darasa, endelea hivyo hivyo na kuelimisha jamii, maana darasa si lazima kuwa na jengo. Hili ni darasa tosha maana walengwa ni wasomaji wa JF.
 
Kweli kabisa Sentino,ukisogea mbele tu hapo Sura ya Saba, ndani ya katiba inayopendekezwa ,utakutana na MUUNDO WA JAMHURI YA MUUNGANO, ibara ya ya 73,inasema Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania itakuwa na muundo wa serikali mbili ambazo a) Serikali ya Jamhuri ya Muungano na b) Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar na hapo ibara ya 74 ni utekelezaji wa shughuli za Mamlaka ya nchi.
Asante Sentino umenifanya na mie kuisoma katiba Pendekezwa, kumbe ukituliza kichwa bwana mambo yanaeleweka kuliko kusimliwa na wanasiasa.
 
Back
Top Bottom