Katiba pendekezwa, Sura ya tatu,Madaraka ya Umma ibara 124 (1-3)

Katiba pendekezwa, Sura ya tatu,Madaraka ya Umma ibara 124 (1-3)

sentino2015

Senior Member
Joined
Apr 9, 2015
Posts
176
Reaction score
30
Ibara ya 124,(1)Kutakuwa na serikali za Mitaa katika kila mkoa,manispaa,Wilaya,mji na kijiji katika Jamhuri ya Muungano ambazo sheria zitakuwa za aina na majina yatakayowekwa na sheria itakayotungwa na Bunge au Baraza la wawakilishi.

Ukiendelea kifungu cha 2-3, UTAGUNDUA kuwa madaraka kwa umma yapo wazi na ndiyo mfumo shirikishi.

Kwa kifungu hiki naendelea kugundua mazuri yaliyomo katika katiba inayopendekezwa..kuliko kuwa na lugha rahisi tu kuwa haifai ndo maana siku hizi naisoma kama chai ya asubuhi ili niwe na hoja nayo.
 
Ibara ya 124,(1)Kutakuwa na serikali za Mitaa katika kila mkoa,manispaa,Wilaya,mji na kijiji katika Jamhuri ya Muungano ambazo sheria zitakuwa za aina na majina yatakayowekwa na sheria itakayotungwa na Bunge au Baraza la wawakilishi.

Ukiendelea kifungu cha 2-3, UTAGUNDUA kuwa madaraka kwa umma yapo wazi na ndiyo mfumo shirikishi.

Kwa kifungu hiki naendelea kugundua mazuri yaliyomo katika katiba inayopendekezwa..kuliko kuwa na lugha rahisi tu kuwa haifai ndo maana siku hizi naisoma kama chai ya asubuhi ili niwe na hoja nayo.

hongera sana sentino2015 kwa kulitambua hilo, huwezi kutoa usichonacho. Ili uwenacho kwenye Katiba Inayopendekezwa ni lazima uisome na kuielewa nawe uweze kuwashirikisha wengine kwa ufasaha zaidi. Be blessed.
 
Back
Top Bottom