katiba pendekezwa

katiba pendekezwa

lukwembo

Member
Joined
Jan 29, 2015
Posts
5
Reaction score
0
katiba ni sheria mama kwa nchi yoyote inayoongozwa kudemokrasia, ila ili katiba iwe nzuri lazima ijaribu kukidhi makundi yote ya binadamu. katiba ieleze wazi haki za watu, umiliki wa ardhi na mengine kama hayo. watu wapewe fursa sawa pamoja na kudai HAKI mahakamani.
 
katiba ni sheria mama kwa nchi yoyote inayoongozwa kudemokrasia, ila ili katiba iwe nzuri lazima ijaribu kukidhi makundi yote ya binadamu. Katiba ieleze wazi haki za watu, umiliki wa ardhi na mengine kama hayo. Watu wapewe fursa sawa pamoja na kudai haki mahakamani.

kasome katiba inayopendekezwa sura ya tano utakuta mambo ya haki za binadamu, pia kasome ibara ya 46 utakutana na mambo ya makundi mbalimbali pia hata ibara ya 56, soma pia sura ya tatu ibara ya 23-27 ninauhakika majibu ya maswali yako ulojiuliza hapo juu nitakuwa nimekujibu, usisahahu kuwaelimisha wengine kuhusu hilo.
 
Back
Top Bottom