Katiba ya 1977 R.E 2005

Katiba ya 1977 R.E 2005

Frankness

Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
66
Reaction score
13
Art. 37 ya katiba hii huwa naisoma lakini bado cjaipatia ufumbuzi....eti raisi anaweza pokea mawazo na ni idhaa yake kuyakubali au kuyakataaa.....na ndio maana alikataaa mawazo ya muswada wa katiba mpya kisha baada ya malalamiko meengi kweli akaamua ku re"consider" the decision...cant these powers be reduced? or isn't this "uraisi wa kifalme"???
 
Utekelezaji wa kazi na shughuli za Rais, n.k. Sheria Na. 15 ya 1984 ib. 9; 4 ya 1992 ib. 12; 20 ya 1992 ib. 4; 34 ya 1994 ib. 6; T.S. Na. 133 la 2001 *
(1) Mbali na kuzingatia masharti yaliyomo katika Katiba hii na katika sheria za Jamhuri ya Muungano katika utendaji wa kazi na shughuli zake, Rais atakuwa huru na hatalazimika kufuata ushauri atakaopewa na mtu yeyote, isipokuwa tu pale anapotakiwa na Katiba hii au na sheria nyingine yoyote kufanya jambo lolote kulingana na ushauri anaopewa na mtu au mamlaka yoyote.

Mkuu sidhani
Hii inamzuia rais kupokea mawazo ya mke wake usiku wakiwa nyumbani na akaja kuyafanya ndio maamuzi asubuhi yake na ndo maana waliliona hilo
Maana hapo wanasema mtu yoyote na hapo hata mke ni mtu yoyote na inapotokea kuwa mke amemshauri kamfukuze kazi waziri fulani kwa kuwa hapatani nae rais anazuiwa kuchukua maamuzi kama hayo
 
Utekelezaji wa kazi na shughuli za Rais, n.k. Sheria Na. 15 ya 1984 ib. 9; 4 ya 1992 ib. 12; 20 ya 1992 ib. 4; 34 ya 1994 ib. 6; T.S. Na. 133 la 2001 *
(1) Mbali na kuzingatia masharti yaliyomo katika Katiba hii na katika sheria za Jamhuri ya Muungano katika utendaji wa kazi na shughuli zake, Rais atakuwa huru na hatalazimika kufuata ushauri atakaopewa na mtu yeyote, isipokuwa tu pale anapotakiwa na Katiba hii au na sheria nyingine yoyote kufanya jambo lolote kulingana na ushauri anaopewa na mtu au mamlaka yoyote.

Mkuu sidhani
Hii inamzuia rais kupokea mawazo ya mke wake usiku wakiwa nyumbani na akaja kuyafanya ndio maamuzi asubuhi yake na ndo maana waliliona hilo
Maana hapo wanasema mtu yoyote na hapo hata mke ni mtu yoyote na inapotokea kuwa mke amemshauri kamfukuze kazi waziri fulani kwa kuwa hapatani nae rais anazuiwa kuchukua maamuzi kama hayo
 
Mkuu sidhani
Hii inamzuia rais kupokea mawazo ya mke wake usiku wakiwa nyumbani na akaja kuyafanya ndio maamuzi asubuhi yake na ndo maana waliliona hilo
Maana hapo wanasema mtu yoyote na hapo hata mke ni mtu yoyote na inapotokea kuwa mke amemshauri kamfukuze kazi waziri fulani kwa kuwa hapatani nae rais anazuiwa kuchukua maamuzi kama hayo

Kama anashauriana na mkewe usiku wakiwa kitandani halafu kesho yake anatoa maamuzi kulingana na hayo mashauri ya/na mkewe, hilo linathibitishwaje?
 
Kama anashauriana na mkewe usiku wakiwa kitandani halafu kesho yake anatoa maamuzi kulingana na hayo mashauri ya/na mkewe, hilo linathibitishwaje?

Mkuu hatuna uwezo wa kujua hayo ila tunaangalia mambo mengine kwa macho ya kawaida tuu kama kuna bias au vipi
Ila hilo nalo ni ngumu kuingilia wala kujua maana anaweza pia kupokea ushauri wa mkewe na kesho maamuzi yakawa yamepitishwa
 
Mkuu hatuna uwezo wa kujua hayo ila tunaangalia mambo mengine kwa macho ya kawaida tuu kama kuna bias au vipi
Ila hilo nalo ni ngumu kuingilia wala kujua maana anaweza pia kupokea ushauri wa mkewe na kesho maamuzi yakawa yamepitishwa

Okay, sasa kwa nini hicho kipengele ulichoki-cite unasema kinamzuia"rais kupokea mawazo ya mke wake usiku wakiwa nyumbani na akaja kuyafanya ndio maamuzi asubuhi yake" ilhali hakuna jinsi ya kujua ama kuthibitisha hivyo?
 
Okay, sasa kwa nini hicho kipengele ulichoki-cite unasema kinamzuia"rais kupokea mawazo ya mke wake usiku wakiwa nyumbani na akaja kuyafanya ndio maamuzi asubuhi yake" ilhali hakuna jinsi ya kujua ama kuthibitisha hivyo?

Mkuu maamuzi mengi ya viongozi wetu sometime yana bias ndani yake
nakubaliana na mtoa hoja hapo juu kuwa kwa kuwa rais hafungwi wala hashurutishwi anaweza akayakubali au akayakataa mawazo ya mtu yoyote na kimewekwa makusudi ili kutomfanya rais apokee mawazo au kuzingatia mawazo ya mtu au kikundi
Japo dhumuni la kuwepo hapo ni kumdhibiti rais kupokea mawazo ya mkewe usiku na yakawa maaamuzi ya kitaifa ila lengo lake hatuna uwezo wa kulijua wala kujadili au kufikiria jambo kama hilo
 
Back
Top Bottom