Pre GE2025 Katiba ya CHADEMA inaruhusu hizi kampeni zinazofanyika hapa nje kwenye ukumbi wa Mllimani City?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Mindyou

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2024
Posts
1,869
Reaction score
4,877
Wakuu,

Kama unafuatilia kwa ukaribu Uchaguzi unaoendelea sasa hivi hapo Mlimani City utagundua kuwa kwa nje kuna mkusanyiko wa makada tofauti tofauti wanaojitambulisha kama Team Lissu na Team Mbowe

Kinachonipa maswali ni namna ambavyo wanachama wa wanatetea na kunadi wagombea wao hadharani kabisa ilhali ni siku ya Uchaguzi.

Kwenye chaguzi za kitaifa, siku ya kampeni sote tunajua kwamba siku ya Uchaguzi especially kwenye polling stations ni marufuku kupiga kampeni eneo hilo.

CHADEMA wanapata wapi nguvu ya kufanya kampeni siku ya kupiga tena kwenye eneo maalum kwa ajili ya kupiga kura?

Your browser is not able to display this video.



Your browser is not able to display this video.
 
Mbona naona tofauti na ulichoandika ...... Wewe ni mnafiki sana ...
 
Vyovyote itakavyokuwa ila Lissu wampe kiti chake ili tuanze upya safari ya kuitengeneza Tanzania mpya.
 
Tupate salamu kutoka kwa mwenyekiti king'ang'anizi

Your browser is not able to display this video.
 
Vijana wa uvccm hao
 
Hawa wameshiba mbege
 
Huo ni uhuni mtupu, na uchaguzi huu umedhihirisha CDM kuna uhuni kama ilivyo kwa vyama vingine
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…