Katiba ya kenya ina 'checks and balance', IGP anakuwa vetted na Bunge

Katiba ya kenya ina 'checks and balance', IGP anakuwa vetted na Bunge

njaakalihatari

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2019
Posts
4,081
Reaction score
8,671
Dah yaani Rais anateua IGP ila inabidi akathibitishwe na bunge na kumbuka siyo bunge la kina msukuma, huko kuna upinzani wa ODM.

Pamoja na matatizo baadhi waliyonayo hawa watu wametuacha mbali sana kiakili na kini thabiti, kilichobaki huku kwetu ni comedy, unafiki na propaganda za kiduwanzi sana.

Yaani hawa jamaa hata jaji mkuu anafanyiwa interview tena live kwenye tv, kesi kubwa zinaruka live kwenye tv huku hata updates kwenye simu ya kesi ya mbowe ilitaka kuleta kizaazaaa.

Mungu awabariki wakenya wafike watakapo kwa haraka sana sababu nia wanaionyesha unlike sisi tuliowekeza kwenye UNAFIKI NA KUDANGANYANA KAMA MITOTO MIDOGO.

igp.JPG
 
CDF,Majaji, na wengine,utaratibu ukoje?
 
CDF,Majaji, na wengine,utaratibu ukoje?
CDF hapiti bungeni.
Majaji kuna tume hufanya interview (Judicial Service Commission) kisha inachagua majina na kupatia Rais wawe appointed. Rais hana budi ila kuwateua. Uhuru alikuwa amekataa kuteua majaji kadhaa, akicheza delaying tactics, Ruto alipoingia aliwateua
 
CDF hapiti bungeni.
Majaji kuna tume hufanya interview (Judicial Service Commission) kisha inachagua majina na kupatia Rais wawe appointed. Rais hana budi ila kuwateua. Uhuru alikuwa amekataa kuteua majaji kadhaa, akicheza delaying tactics, Ruto alipoingia aliwateua
Asante sana,kwa ufafanuzi murua.
 
Dah yaani Rais anateua IGP ila inabidi akathibitishwe na bunge na kumbuka siyo bunge la kina msukuma, huko kuna upinzani wa ODM.

Pamoja na matatizo baadhi waliyonayo hawa watu wametuacha mbali sana kiakili na kini thabiti, kilichobaki huku kwetu ni comedy, unafiki na propaganda za kiduwanzi sana.

Yaani hawa jamaa hata jaji mkuu anafanyiwa interview tena live kwenye tv, kesi kubwa zinaruka live kwenye tv huku hata updates kwenye simu ya kesi ya mbowe ilitaka kuleta kizaazaaa.

Mungu awabariki wakenya wafike watakapo kwa haraka sana sababu nia wanaionyesha unlike sisi tuliowekeza kwenye UNAFIKI NA KUDANGANYANA KAMA MITOTO MIDOGO.

View attachment 2369867
Pia, IG hateuliwi direct na Rais Kama alivyofanya Ruto ni tume ya utumishi wa polisi inapaswa kupeleka majina matatu kwa Rais kisha bungeni (vetting) halafu Rais ndo anateua
 
CDF,Majaji, na wengine,utaratibu ukoje?
Kuhusu CDF, hawa ndo wanarecomend ni nani ateuliwe kuwa CDF kwa Rais, Sheria pia inasema CDF akitoka kwa army basi next CDF atoke kwa Airforce alafu next atoke kwa Navy, yani cheo hicho kiwe kinazunguka



Composition of the Defence Council, etc
(1)The Defence Council established under Article 241(5) of the Constitution shall consist of—
(a)the Cabinet Secretary, who is the chairperson;
(b)the Chief of the Defence Forces;
(c)the three Service Commanders of the Defence Forces; and
(d)the Principal Secretary.



23.Appointments
(1)The Chief of the Defence Forces, the Vice Chief of the Defence Forces and the three Service Commanders shall be appointed by the President on the recommendation of the Defence Council.


Alafu mbali na CDF na service commanders, Rais haruhusiwi ku appoint wala kufuta kazi commander wengine chini ya hio level
 
Kuhusu CDF, hawa ndo wanarecomend ni nani ateuliwe kuwa CDF kwa Rais, Sheria pia inasema CDF akitoka kwa army basi next CDF atoke kwa Airforce alafu next atoke kwa Navy, yani cheo hicho kiwe kinazunguka



Composition of the Defence Council, etc
(1)The Defence Council established under Article 241(5) of the Constitution shall consist of—
(a)the Cabinet Secretary, who is the chairperson;
(b)the Chief of the Defence Forces;
(c)the three Service Commanders of the Defence Forces; and
(d)the Principal Secretary.



23.Appointments
(1)The Chief of the Defence Forces, the Vice Chief of the Defence Forces and the three Service Commanders shall be appointed by the President on the recommendation of the Defence Council.


Alafu mbali na CDF na service commanders, Rais haruhusiwi ku appoint wala kufuta kazi commander wengine chini ya hio level
Mmmh...! wako vizuri sana.
 
Back
Top Bottom