Raia Fulani
JF-Expert Member
- Mar 12, 2009
- 11,478
- 3,659
Majuzi kuna mkenya mmoja alitengeneza katiba yake kuainisha ni jinsi gani mpangilio wa maamuzi na uwajibikaji vinavyopaswa kuwa ndani ya nyumba. Aliandaa hiyo katiba baada ya kusumbuliwa na wanawake wa awali. Alizungumzia machache kwa ufasaha tu. Swali ni je, kuna haja ya kuwa na maandiko yanayotoa mwongozo wa majukumu ya baba, mama na watoto? Yawezekana ikaleta maridhiano baada ya kila mmoja (wazazi) kusoma, kuridhia na kusaini