Katiba ya sasa hivi inayoruhusu demokrasia kubakwa, haitufai

Mag3

Platinum Member
Joined
May 31, 2008
Posts
13,413
Reaction score
23,592
Duh, Katiba inayotoa mwanya kwa viongozi kufanya uhuni kama huu hapa chini haitufai. Hebu shuhudieni wenyewe:
CCM yabaka demokrasia, Mbeya.
Na Felix Mwakyembe, Raia Mwema toleo Na. 165
Watanzania hakika tunachezeshwa mdundiko na genge la wahuni wakijiita viongozi wa serikali. Na hapo thubutu Mbunge wetu alalamike kama bado hajapata mkong'oto kutoka kwa vijibwa vyao vikijiita polisi. Hili halina jina jingine lolote lile, ni laana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…