Katiba ya soka Inayokataza watu kwenda mahakamani

Katiba ya soka Inayokataza watu kwenda mahakamani

Amavubi

JF-Expert Member
Joined
Dec 9, 2010
Posts
30,156
Reaction score
13,258
Nimesoma kupitia kurasa za michezo kwamba eti katiba za soka (vilabu, shirikisho na FIFA) zinakataza masuala ya soka kupelekwa mahakamani ilihali

Katiba ya nchi (JMT) inasema kwamba Mahakama ndicho chombo cha juu cha utoaji HAKI
 
Back
Top Bottom