Katiba ya Tanzania ni bora Afrika

Katiba ya Tanzania ni bora Afrika

Mugabe one

JF-Expert Member
Joined
Nov 15, 2016
Posts
2,327
Reaction score
1,683
Hujambo ndugu yangu, kwa almost two weeks nimekuwa nikisoma katiba za baadhi ya mataifa ya kiafrika nilianzia ya Mauritius nikaenda Angola, nikaenda Cameroon, nikaja kwa Wahabeshi nikashukia kwa akina Amoro nikagundua kuwa katiba yetu ni nzuri sana sana, tatizo lililopo Tanzania ni watu hawasomi kwa kuelewa, pia wapo watanzania wepesi kuchotwa akili bila kugundua kama anachotwa kama ACACIA ILIVYOMCHOTA MGOMBEA WETU WA KUTUKANA.

Someni katiba na kuelewa kisha kasome za mataifa mengine.
 
Jiwe, majaliwa, samia, Hussein Mwinyi, bia yetu, kawe alumni, yohana mbatizaji, bashiri, chakubanga na lb7 nao wanasema hivyo.

Vipi jombi wewe ni mmoja wao?
 
There are some powerful people in our country trying to make it difficult for us to vote for Tundu Antipas Lissu. You know why? Because they know when we vote, things change.
 
There are some powerful people in our country trying to make it difficult for us to vote for Tundu Antipas Lissu. You know why? Because they know when we vote, things change.
Yes, will change to worse
 
Back
Top Bottom