GoldDhahabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2023
- 7,189
- 10,375
Inasemekana, Naibu Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama Kenya, Jenerali Ogolla, alitumwa kuzuia Ruto asitangazwe kuwa mshindi wa kiti cha Urais Kenya, lakini azma hiyo haikufanikiwa.
Viongozi wa Tume ya uchaguzi hawakuuogoopa Ujenerali wake. Waliiheshimu na kuisimamia Katiba yao kikamilifu!
Kwa nchi zingine, hata RPC tu angeweza kulifanikisha hilo, kulingana na udhaifu wa Katiba zao.
Lakini kwa nchi kama Kenya, hata Rais asingeweza kuufanikisha uovu kama huo. Na hiyo ni kwa sababu Wakenya wana Katiba nzuri waliyoikubali na hivyo wanaiheshimu kuliko kitu kingine cho chote.
Natamani na sisi tuwe na Katiba bora kuzidi ya Wakenya.
Viongozi wa Tume ya uchaguzi hawakuuogoopa Ujenerali wake. Waliiheshimu na kuisimamia Katiba yao kikamilifu!
Kwa nchi zingine, hata RPC tu angeweza kulifanikisha hilo, kulingana na udhaifu wa Katiba zao.
Lakini kwa nchi kama Kenya, hata Rais asingeweza kuufanikisha uovu kama huo. Na hiyo ni kwa sababu Wakenya wana Katiba nzuri waliyoikubali na hivyo wanaiheshimu kuliko kitu kingine cho chote.
Natamani na sisi tuwe na Katiba bora kuzidi ya Wakenya.