Amavubi
JF-Expert Member
- Dec 9, 2010
- 30,156
- 13,258
Ninafuatilia kwa karibu kuhusu sakata la TFF, Jana Tenga alinukuliwa akisema kwamba hakukuhitajika watu kukusanyika kuipitisha Katiba ya TFF kwani teknolojia ya kisasa inaruhusu hivyo...kwamba wajumbe walipelekewa na kurudisha majibu kidigitali
Mwanasheria mwingine anasema kwamba Teleconferencing haipo katika Katiba ya TFF kwani marekebisho yoyote ya Katiba yanatakiwa yafanyike "at' the General Asssembly na sio by the GA.......Yaani ni lazima watu wakusanyike na kupitisha Katiba
Sakata zima linaonekana kua na ,mkanganyiko mwingi wa kisheria
Wadau tiririkeni zaidi hapa maoni yenu
Mwanasheria mwingine anasema kwamba Teleconferencing haipo katika Katiba ya TFF kwani marekebisho yoyote ya Katiba yanatakiwa yafanyike "at' the General Asssembly na sio by the GA.......Yaani ni lazima watu wakusanyike na kupitisha Katiba
Sakata zima linaonekana kua na ,mkanganyiko mwingi wa kisheria
Wadau tiririkeni zaidi hapa maoni yenu