Wana jamii naomba mawazo yenu hivi kwanini swala la katiba mpya vyama vya siasa wamechukua zaidi jukumu la tume? Watu wanazunguka nchi nzima sasa sijui kuna maslahi gani binafsi mpaka wenzetu hawalali kwa hili.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.