Katiba ya Zanzibar ina Utata Mkubwa kugusu Mipaka ya Kijiografia ya Nchi ya Zanzabar

Katiba ya Zanzibar ina Utata Mkubwa kugusu Mipaka ya Kijiografia ya Nchi ya Zanzabar

Mtanke

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2011
Posts
743
Reaction score
1,839
ZANZIBAR ni nchi ambayo mipaka yake ni eneo lote la visiwa vya Unguja na Pemba na visiwa vidogo vinavyoizunguka ambayo kabla ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar iliitwa Jamhuri ya Watu wa Zanzibar na eneo lake la bahari. Je hivyo visiwa vidogo ni vipi? Je mafia na vingine vimo? Eneo lake la bahari linaishia wapi? Maana visiwa vidogo vipo vinavyokuja mpaka karibu na Dar es slaam, Lindi na Mtwara. Isije kuwa Tanganyika hatuna eneo la Bahari jamani!!
 
ZANZIBAR ni nchi ambayo mipaka yake ni eneo lote la visiwa vya Unguja na Pemba na visiwa vidogo vinavyoizunguka ambayo kabla ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar iliitwa Jamhuri ya Watu wa Zanzibar na eneo lake la bahari. Je hivyo visiwa vidogo ni vipi? Je mafia na vingine vimo? Eneo lake la bahari linaishia wapi? Maana visiwa vidogo vipo vinavyokuja mpaka karibu na Dar es slaam, Lindi na Mtwara. Isije kuwa Tanganyika hatuna eneo la Bahari jamani!!

kuna visiwa vidogo km mikadi na vingine ni jiwe tuu vyenye ukubwa wa fuso, ukubwa wa hiace na ukubwa wa beetle.Mafia si sehemu ya Zenj.
 
kuna visiwa vidogo km mikadi na vingine ni jiwe tuu vyenye ukubwa wa fuso, ukubwa wa hiace na ukubwa wa beetle.Mafia si sehemu ya Zenj.

Acha mzaha, shauri au changia unachokifahamu.
 
Dhuruma inataka ku-take action ukiona kauli kama hizi ..............
rudi darasani mkuu Elimu aina mwisho........... utaelewa Zenj inaanzia wapi na kuishia wapi!!!
 
Acha mzaha, shauri au changia unachokifahamu.
Nini sifahamu?kuwa kuna kisia kidogo km Hiace?Kweli utakuwa na kichaa...ukiingia Zenj kwa boat wile unavyoviona si mawe yaliyoota udongo, ni visiwa.The other side of zenj kuna visiwa vingi tuu...kunapofanyika scuba diving na dolphin riding....

Unashangaa Mafia.Mafia haifiti ktk map ya Zenj...na hata kihistoria dar ,tanga, na mombasa zilikuwa sehemu ya sultan kuliko Mafia.
 
Back
Top Bottom