_KATIBA YANGU YA MWAKA 2017........_
_1.Usinipigie wala kunitxt ujinga wowote ule._
_2.Ukoina nimekukalia kmya fanya yako nina sababu zangu naomba ucniulize coz majibu yangu yatakukela_
_3.Mwaka 2016 nimejifunza mengi yupi ndugu yup I rafiki wa kweli ctak kukumbushwa undugu wala rafiki coz nawajua wote_
_4.Uwe rafiki au ndugu yangu ukiona sishughuliki naww usilazimishe ujue upo kwenye takataka nilizobeba 2016 ni lazima zitupwe_
_Nisameeee kwa usumbufu utakaojitokeza.........._
[emoji124]```Ambiele Kiviele```[emoji124]