Katiba

Katiba

Ama Amaa

Member
Joined
Feb 29, 2008
Posts
75
Reaction score
16
Mwenyekiti wa bunge la katiba naona kaanza safari kwa mguu wa kushoto, vitisho vingi naomba aelewe hutaweza kuzuia mafuriko kwa mikono, TANGANYIKA HAIZUILIKI
 
matokeo ya kalenga ndo mpango mzima kwa sasa. hapa huwaoni misukule kama akina yericko, pompo, nicholas, tumaini makene, ben wa saa 9 NA MISUKULE MINGINE YA KIBAVICHA?
 
Mwenyekiti wa bunge la katiba naona kaanza safari kwa mguu wa kushoto, vitisho vingi naomba aelewe hutaweza kuzuia mafuriko kwa mikono, TANGANYIKA HAIZUILIKI

Kuna dalili za laana kubwa kwa wanasiasa hapa nchini
 
Back
Top Bottom