Pre GE2025 Katibu Mkuu ACT Wazalendo: Pesa tutakazotumia kuendeshea Uchaguzi, ziko mifukoni mwa wananchi

Pre GE2025 Katibu Mkuu ACT Wazalendo: Pesa tutakazotumia kuendeshea Uchaguzi, ziko mifukoni mwa wananchi

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Mindyou

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2024
Posts
1,869
Reaction score
4,877
Wakuu,

Yaani kwa kauli hii inaonekana hawa ACT kwanza kabisa watashiriki huu Uchaguzi na pa so far hawana hela za kuzunguka kufanya kampeni kufanya Uchaguzi.

============================================

Katibu Mkuu wa chama cha ACT Wazalendo, Ado Shaibu amesema pesa za kufanikisha shughuli za uchaguzi zipo mikononi mwa wanachama, huku akiongeza kuwa wamejipanga vilivyo katika kukuza uchumi wa chama hicho.


 
Wakuu,

Yaani kwa kauli hii inaonekana hawa ACT kwanza kabisa watashiriki huu Uchaguzi na pa so far hawana hela za kuzunguka kufanya kampeni kufanya Uchaguzi.

============================================

Katibu Mkuu wa chama cha ACT Wazalendo, Ado Shaibu amesema pesa za kufanikisha shughuli za uchaguzi zipo mikononi mwa wanachama, huku akiongeza kuwa wamejipanga vilivyo katika kukuza uchumi wa chama hicho.


View attachment 3250231
umeshafeli mmejiandaa kukuza uchumi wa chama siyo wa wananchi? halafu hizo hela unazosema ziko mikononi mwa watu mliwapa wawashikie au?
 
Back
Top Bottom