Wakuu,
Yaani kwa kauli hii inaonekana hawa ACT kwanza kabisa watashiriki huu Uchaguzi na pa so far hawana hela za kuzunguka kufanya kampeni kufanya Uchaguzi.
============================================
Katibu Mkuu wa chama cha ACT Wazalendo, Ado Shaibu amesema pesa za kufanikisha shughuli za uchaguzi zipo mikononi mwa wanachama, huku akiongeza kuwa wamejipanga vilivyo katika kukuza uchumi wa chama hicho.
View attachment 3250231